babukijana,
Ulionena hapo hayana shaka, lazima tuelewe huu muungano ulikuwa ni wa Nchi sio Mikoa miwili, kila upande ukihisi haufanyiwi haki basi una haki kulalamika. Na ndugu zetu wa kibara iwapo mnaona malalamishi yameshakua mengina hakuna njia ya kuyatatua basi hata kwenye ndoa zetu za Ki-Islam Talaka imehalalishwa, na tunapofunga ndoa hua tunasomewa dua inayosema kua kuoana kwa wema na kutokana kwa Ehsan ( yaani kwa usalama) especially mshapo zaana. Na hata (hatuombi) muungano ukivunjika basi hatuwezi kua maadui kwani tumechanganya damu sio jana tu kwa muungano bali ni kwa karne. Wengi vizazi vya leo 35+years hawaijui historia ya znz ndio maana utasikia wengine wakisema " ooh muungano ukivunjika mutauwana au mtakufa njaa visiwani " Plse hebu someni history au waulizeni mababu waliobaki vipi ilikua znz kabla ya huo muungano au Mapinduzi.
Ulionena hapo hayana shaka, lazima tuelewe huu muungano ulikuwa ni wa Nchi sio Mikoa miwili, kila upande ukihisi haufanyiwi haki basi una haki kulalamika. Na ndugu zetu wa kibara iwapo mnaona malalamishi yameshakua mengina hakuna njia ya kuyatatua basi hata kwenye ndoa zetu za Ki-Islam Talaka imehalalishwa, na tunapofunga ndoa hua tunasomewa dua inayosema kua kuoana kwa wema na kutokana kwa Ehsan ( yaani kwa usalama) especially mshapo zaana. Na hata (hatuombi) muungano ukivunjika basi hatuwezi kua maadui kwani tumechanganya damu sio jana tu kwa muungano bali ni kwa karne. Wengi vizazi vya leo 35+years hawaijui historia ya znz ndio maana utasikia wengine wakisema " ooh muungano ukivunjika mutauwana au mtakufa njaa visiwani " Plse hebu someni history au waulizeni mababu waliobaki vipi ilikua znz kabla ya huo muungano au Mapinduzi.