Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Muungano ukivunjika, CCM haiwezi kushinda ZanzibarMuungano ukivunjika, Karume ataweza kujiongezea muda wa kutawala. Hivyo chokonoa chokonoa hiyo ndiyo tuelekeako. Tuliyaona kwa Salmin, hayo yanajirudia.