Pinda is right! Doctors are wrong! Doctors have frustrations!! They must apologize to all Tanzanians

LATTICE BOND

JF-Expert Member
May 30, 2011
219
48
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!
 
Mbona huongelei kuhusu wabunge kujiongezea posho na wao wako sahihi?.Hapa chanzo cha mgogoro huo ni wabunge kujiongezea posho nothing else.
 
engineerm;3236909!
Nimeongelea posho za Wabunge tena kwa lugha kali vya kutosha!! angalia andishi langu lenye red hapo chini!
Mbona huongelei kuhusu wabunge kujiongezea posho na wao wako sahihi?.Hapa chanzo cha mgogoro huo ni wabunge kujiongezea posho nothing else.

Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
 
usiwalaumu madaktari ilaumu serikali kwa kushindwa kuboresha maslahi yao na pia kwa kuzorotesha huduma za afya nchi nzima na wakati huo huo wakiwa na mpango wa kujenga jengo la ikulu litalogharimu mamilioni ya dola
 
sasa kwanini waziri mkuu anataka kuridhia posho za wabunge ila madaktari kudai posho inaonekana ni haramu,ila mkuu wewe unaonekana unawaponda sana madaktari ijapo kwenye posho za wabunge umegusia tu.
engineerm;3236909!
Nimeongelea posho za Wabunge tena kwa lugha kali vya kutosha!! angalia andishi langu lenye red hapo chini!


Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
 
unapowasakama kwa kulinganisha na taaluma nyingine au wafanyakazi wengine unakosea kwa sababu
1. pengine hizo taaluma nyingine zimeridhika na hali za maisha na kazi wazifanyazo
2. Pengine wana mahali wanapopata kipato cha ziada kiasi cha kutoyasikia makali ya upanga wa maisha au
3. Pengine hao wengine ni waoga, hawajui haki zao kisheria au hawaijui thamani ya taaluma yao katika jamii.

Madaktari wameijuia, wamejiotambua na wamezifahamu haki zao waache wazipiganie

kama una alternative ya namna wanavyowezazipigania haki zao KIUNGWANA zaidi ya wafanyavyo, please washauri na si kuwacondemn kwani pilipili usoila............................
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?

Ndugu upimi umuhimu wa kazi kutokana na majukumu tu, bali unapima umuhimu wa kazi kutokana na training inayo ambatana nayo. Unaweza kumchukua mtu yeyote na akafanya kazi zote hapo ulizozitaja lakini uwezi kumchukua mtu yeyote akatibu wagonjwa hapo ndio MD wanahaki ya kuweka madai.

Hao wengine wakitaka kugoma ni very easly replaceable sectors, kwenye nchi yenye mamillioni wasio na ajira. Embu sasa mchukue huyo mlinzi wa gerezani akatibu wagonjwa kama ni rahisi kama unavyo-compare madai ni sawa.

Wakati mwingine huwa nina mashaka sana na uwezo wetu wa kuchanganua mambo.

Hila madokta nao kwa sasa nadhani warudi kazini mgomo gani usio na mwisho inabidi watoe tena muda kwa serikali hili matakwa yao yasikilizwe na wagome tena baadae. Lakini kwa sasa it is enough na wanatia aibu proffesional yao na kujionyesha ethics zao ni ndogo ni tamaa tu na wao kama wabunge wetu.
 
Mbona huongelei kuhusu wabunge kujiongezea posho na wao wako sahihi?.Hapa chanzo cha mgogoro huo ni wabunge kujiongezea posho nothing else.
WAKUU;
Anavyo jaribu kuwalaumu madaktari kwa ubinafsi anashindwa kutujuza je hicho wanachodai ni sawa au la,nilimsikia mwenyekiti wa kamati ya mpito Dk ulimboka akiwataka watz kutoka kada nyengine wanaodhani wanadhulumiwa wawauunge mkono lakin bado tunawalaumu?TUACHE UNAFIKI
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!
Hapo kwenye red, kama wao wameshindwa kujitambua unataka na madaktari nao wasijitambue?
 
Kama mimi ni M-mbeya basi wewe ni M-tanga!
acha kutangatanga nami ntaacha kuwa mmbeya maana sitapata umbeya wa kufanya!!
wanaobishana na huyu mtu wanapoteza muda, mabandiko yake yanaonyesha uwezo wake kiakili ni mdogo kujua madaktari kwa nini wanagoma, hamtaweza kumuelimisha kwa kuwa uwezo wake wa uelewa umeishia hapa.
 
Unajua mimi nawashangaa sana watu wanaowalaumu madaktari...mkuu,kama na wewe unaona unashida kwenye eneo lako goma!!! Usilazimishe kuwa kwasababu wenzako wameona shida yao,lazima waone na yako!!! Kila mtu anatakiwa kudai haki yake kwa kile anachohisi anadhulumiwa na sio kuwataka madaktari wakusemee shida yako wakati wao sio watu wa fani hizo..Kama wewe ni askari na unahisi kuna shida huko,tafuta mbinu ya kulisemea mkuu...
 
Mbona huongelei kuhusu wabunge kujiongezea posho na wao wako sahihi?.Hapa chanzo cha mgogoro huo ni wabunge kujiongezea posho nothing else.

Mkuu ungeanza kuzungumzia wabunge kwanza kwakua wao ndio chanzo cha matatizo haya.
 
unapowasakama kwa kulinganisha na taaluma nyingine au wafanyakazi wengine unakosea kwa sababu
1. pengine hizo taaluma nyingine zimeridhika na hali za maisha na kazi wazifanyazo
2. Pengine wana mahali wanapopata kipato cha ziada kiasi cha kutoyasikia makali ya upanga wa maisha au
3. Pengine hao wengine ni waoga, hawajui haki zao kisheria au hawaijui thamani ya taaluma yao katika jamii.


...................
Umesomeka.
Madoktaz hawawazuia wafanyakazi wengine kudai haki zao.
Kila profession ina umuhimu wake, na ni yule member pekee wa profession ndiye anejua matatizo na changamoto zinazoikabili profession yao.
 
Back
Top Bottom