LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!