Pinda is right! Doctors are wrong! Doctors have frustrations!! They must apologize to all Tanzanians

Kwani maDR Wanagoma kwa sababu ya mishahara tu?

Kwa wasio werevu wanaona swala la mishahara tu ingawa madaktari wameshaweka wazi malengo kuwa ni kuboresha mazingira ya kazi, kwa kuwa yamekuwa hatarishi kama danguro; waweza pata ukimwi saa yoyote etc.

Mishahara ni kilemba tu na serikali inangangania hapo kwa sababu ni serikali iosiyopenda kuwajibika responsibly kwa wenyenchi. Ajabu sana. Baba anamtenda mwanae namna hii kwenye familia, atakuwa baba mwema kweli??


Sijui ila madai ya madaktari ni ya msingi tena ukizingatia uwezo wao wa kufikiri. Un-questionable.
 
LATTICE BONDA!
I think you are out of your mind or you are the victim of dubious ccm politics!
Either of the above, doctors are the biggest victims of poor managements of national cake!!
Doctors deals with patients. You can't squeeze a 10% from someone dying unlike a clerk working at the EPA account who can easily grab a huge sum of cash without being asked anything!
since everybody is talking about ethics I must remind you that the same ethics of saving lives involves the life of a Doctor too!!
THEREFORE WAKE UP AND SUPPORT THE DOCTORS!
 
madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa tzs 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na lazima kiongozi mmojawapo wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza mponda, nkya, nyoni na mtasiwa wafukuzwe. Kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! Ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! Kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! Acheni huo ulimbukeni wa ki-kibinafsi na kimaskini usio na weledi asilani!!!!!
Badilisheni maudhui ya mgomo wenu au rudini kazini!!!!!!!!!!!!

hebu toa utoto wako hapa..kama huna cha kuandika kaa uwani cheza karata na dada zako
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!
You might be having problems with your thinking abilities and your way of doing critism. You need to reviews your notes in logic.
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!

SI mmesha wafukuza mbona sasa hamlali usingizi??
 
madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa tzs 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na lazima kiongozi mmojawapo wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza mponda, nkya, nyoni na mtasiwa wafukuzwe. Kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! Ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! Kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! Acheni huo ulimbukeni wa ki-kibinafsi na kimaskini usio na weledi asilani!!!!!
Badilisheni maudhui ya mgomo wenu au rudini kazini!!!!!!!!!!!!

acha ukiazi wewe kila mtu anathamani yake
lazima na wewe ujitambue mimi wakigoma polisi leo ntafurahi tu kwani vipi
ilimradi wananchodai ni haki yao
halafu uliza kitu kama hujui kesho nikipata muda nitafafanua hapa
baadhi ya mambo

serikali ndiyo inayopaswa kuapologize kumbe mlifikiri tunabip
mbunge kulipwa laki tau kwa siku sawa?
Unajua mawizarani huko wanajilipaje??
Au hukuona sakata la jairo
pinda anakula posho laki nne na zaidi
kwenye maboard ya mashirika ya umma
tra
sisi kuwa wawazi inakuwa shida
wewe utakuwa na ka inferiority complex kidogo
nachelea kufikiri hivyo.
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?

Kwa hiyo unafikiria polisi wanahatarisha maisha yao kama madaktari; ukitaka kuwaweka japo kwa kuwalinganisha useme polisi wasitembee na silaha. Hebu fikiria serikali iwaambie polisi walinde benki kwa fimbo!
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?

Ukitaka kulinganisha na madaktari utuambbie kuwa askari magereza wanapolinda wafungwa/wahalifu na wao wenyewe wanakaa vyumba hivyo hivyo vya wahalifu na kuwa hakuna makomeo wala milango ya kuwatenganisha na wahalifu. Labda madaktari waanze kuwatibu wagonjwa huku kati yao kuwe na lango kubwa na tiba yenyewe iwe ni ya maneno tu!

3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?

Yeah wanahatarisha maisha yao kwa sababu na wao wanatembea na silaha! na sijui uhamiaji wangapi wanaoitwa usiku wamaneno kwenda kushika mate, kupasua wahamiaji haramu! Labda uwaambie kuanzia sasa uhamiaji wakienda kulinda mipaka walinde bila silaha wala simu za mawasiliano!

.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!

It makes absolutely no sense; kama hawa wote wanalingana na huko kwingine hawawajibishwi kwanini hawa watatu wawajibishwe basi. Umesikia polisi, uhamiaji au magereza wamewajibishwa kwa makosa ya watu wengine?

Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!

kwa kuwatukana na kuwabeza unafikiria ndio umejenga hoja ya kwanini warudi kazini? Inaonekana tu kama haya ndio mawazo ya hao watawala basi hawa madaktari wanasababu kubwa zaidi ya kuendelea kugoma hadi watu kama wewe waelewe what is at stake here! Mtu yeyote aliyepitia mafunzo ya awali ya mgambo anaweza kuwa polisi na hata kwend avitani kupigana baada ya kupewa mafunzo ya miezi mitatu tu; sasa kama ndiyo hivyo kwanini usipeleke hao afisa wa magereza kwa miezi mitatu wakawa madaktari?
 
News Alert ? What has JF turned into ? Jamani post zingine zitatufukuza JF ! Hebu fikiria unafungua JF unakuta post inasema News Alert, haraka haraka unaacha mambo ya maana ili usome ni kitu gani hicho, lahaulaaaaaa...!
Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!! BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!
Masikini, yale yale ya Davos ! "Hakikisha kwanza unayo magari meengii ndio ufikirie ujenzi wa barabara kwa sababu hailipi kama huna magari ya kutosha", atoa somo JK na kushangiliwa kwa vifijo na watu kama LATTICE BOND !
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!

Mkuu sitaki kuamini kuwa madaktari ni wajinga au wabinafsi. Unajua enzi za kuonesha upendo wa mshumaa zimekwisha, huwezi kuendelee kuwakekea mwanga wengine wakati wewe unateketea. Siki jinsi wanasiana wanavyosema"tumeboresha huduma na muhimbili sasa itao huduma nzuri, kwa hiyo tunajiongeza posho na mishahara". What about those on the ground, vipi wale wa mstari wa mbele, hawana maana?? Kama Polisi wamelala na hawajui maslahi yao, huwezi kuwalazimisha madakatari walale. Hatuwezi kulinganisha elimu na uchungu walipata madaktari mpaka kuwa madaktari na wa polisi. No doubt kila mtu nchi hii ni muhimu, kwa hiyo umuhimu wake unatakiwa utahminiwe kutokana na nguvu iliyomfanya awe muhimu.

By the way, mbona wabunge wanalipwa zaidi ya hilo, tunaweza kujustify vipi malipo yao? Why are they getting better pay than teacher, nurses, soldiers, civil servants, and others who work hard to bring revenues?
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!

Kwanza mna[JFMP
[/JFMP3]posema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari :washing:kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!

Inaelekea wewe huna uweza wa kuchambua issue, ni bora usiwe unadandia usichokielewa, fanya uchambuzi ujenge hoja. Madaktari wana hoja za msingi ambazo serikali wanapaswa kuzijibu na kutolewa majibu sahihi. Hujui Wizara ya afya kuna watu wanaona ni taasisis yao binafsi hakuna mwenye mamlaka zaidi yao. KAAAAA KIMYA UJIFUNZE.
 
mleta maada usizungumze kama juha, madaktari weao wameona umuhimu wa kudai madai yao ndio maana wamegoma kama na hao wengine uliowataja wanashida ya kudai nyongeza wafanye pia sio kwa vile nyie hamuwezi dai ndo useme na wengine wasidai, bwna yesu alishasema waache wafu waende na wafu wenzao, maana weak people watakufa na weak people wanzao, madaktari wao wanaweza dai chao so well and good!
 
Nadhani hayo makundi mengine yanahitaji nyongeza pia. Lkn si kazi ya madaktari kuwaombea hizo nyongeza. They should fight kwa kuweka vigezo na ikiwezekana nao wagome ili wasikilizwe. Then kama serikali haina uwezo huo basi serikali idemonstrate kwa vitendo kwa kupunguza matumizi ya siyo ya lazima.waache kununua mashangingi, posho za wabunge zisiwe za kipuuzi eti kwa sababu wanakopa hivyo wanaishiwa pesa?? huo ndo upuuzi na mengineyo ambao serikali inabidi iache ili kama nikunguka mkanda basi wote wafunge mkanda.
 
Mzee mwenzangu MM nimepotea kwenye msitu wa maneno humu JF. Hivi unaweza rejea madai asilia ya Madakatari hadi kufikia kugoma kwani sasa hivi naona tunaongelea zaidi mishahara na marupurupu kitu kilichokuzwa na Mpindishaji Pinda kuliko madai ya msingi ya Madaktari.
Pinda katika kuongea kwake hakuzingatia madai halisi bali amechukua sehemu ndogo ya madai na kuikuza mara 1000 hivyo kuondoa uhalali wa madai muhimu ya madaktari mbele yetu watanzania ambao wengi tunaamini kila kisemwacho na wanasiasa redioni na mikutanoni bila kuhoji ukweli na uhalali wake.


Dr anaweza kushika bunduki na kulinda lindo lolote kwa mafunzo mafupi ya pengine siku 3 tu.
Lakini hakuna polisi awezaye kupewa mafunzo hata ya mwaka 1 akahitimu hata kufunga kidonda cha mgonjwa sembuse ku prescribe umugoda?(Dawa)

Dr anaweza kuwa Waziri mkuu au kushika kazi ya baba Riz bila hata kuongeza elimu yake hata chembe,wakati huohuo Waziri mkuu Pinda au hata Prez hawawezi kuwa Mdr hata wakitamani vipi kwa sababu MWalimu wa Biology kule O Level walikuwa wakipishana naye mlangoni.Mwalimu anaingia kufundisha Biology,wao hao wanapesa nje kuvuta Bangi nyuma ya mbuyu.
 
mleta mada yuko sahihi lakini wasomaji ambao wame comment hawajamwelewa.hilo ni tatizo kubwa kuliko mgomo wenyewe
 
Sijakuwa na access ya Internet kwa muda sasa...

Naomba kama kuna member yeyote mwenye "ORODHA" ya madai ya Ma-daktari aiweke hapa tafadhali
 
Kila fani inaumuhimu wake na changamoto zake. Fani ya udaktari ni ya kipekee na inahitaji umakini mkubwa maana inajihusisha na maisha ya mtu mmoja mmoja na sio kwa ujumla wetu. Hivyo basi huwezi kulinganisha Uhandisi na Utabibu hata kidogo makosa ya Uhandisi yanarekebishika lakini ya Utabibu hayarekebishiki (Mtu anakufa mara mmoja tu) na hata kuisomea tu pale IMTU ada ni US dola 4500(Tshs7155000/=) kwa mwaka bila meals books stationaries & accomodation, achilia mbali miaka yakusomea. Labda nimjulishe tu mtoa mada kuwa Udaktari ndio kozi ghali na ndio inayosomewa kwa muda mrefu kuliko zote.Sasa jamani unataka alipwe sawa na Polisi ambao wegi ni kidato cha nne na kuupata upolisi wenyewe ni miezi sita tu.Tuwe waungwana kama mtu amesoma apewe stahiki yake.nafikiri hili litatupunguzia wimbi la wataalamu wetu kikimbilia nchi za nje. Embu jamani tujitahidi kuheshimu Taaluma na hapo tutaweza kujenga motisha kwa vijana wetu kupenda masomo magumu ya sayansi na kuwezesha wasomi wetu waache kuacha taaluma zao na kukimbilia siasa.
Tukizungumzia madai yao wao wameona yana msingi na serekali kwa upande wao (kama mwajiri mkuu) wanapaswa kuwasikiliza na wafikie makubaliano. Kudai 3mil. haimaanishi ndio wanataka hizo ni mbinu za kawaida kabisa ktk maelewano unataja kiwango cha juu ili mteremshane mpaka kiasi kitakachoridhiwa na pande zote mbili.
Kuhusu kauli Waziri Mkuu kwamba Serekali haina fungu la kuwaongezea madaktari, ni kweli naamini haina maana tupo katikati ya bajeti na hili limekuja kwa ghafla mno.Mwaka 2010 watumishi wote waliongezewa mshahara ktk mazingira kama haya Je! hizo fedha zilitoka wapi?Mimi namshauri Mh. Pinda amwulize mkuu wake alipozipata hizo fedha ambazo Mh. Dr. Slaa alizifananisha na hongo kwa watumishi kutoka kwa CCM baada ya kutukanwa na Mheshimiwa. Halafu kitu kingine kwa Mh. akawaulize waheshimiwa wabunge walipozipata fedha za kujiongezea posho laki tatu na thelathini na tatu kwa siku nje ya mshahara wao.
Kwamtazamo wangu huu mkate ni mkubwa ila tunashindwa kugawana na kama ni mdogo basi tugawane wote tupate.
Kinachoenekana hapa ni "EVERY BODY FOR HIMSELF BUT GOD FOR ALL OF US" hivyo namshauri mtoa mada na wao wagome kama wanahisi hawapati stahiki yao na sio kukaa na kulalamikia wenzao.
 
Madaktari tuambieni mmetumia vigezo gani kufikia mshahara wa TZS 3,000,000 plus other fringe benefits ambazo mwisho wa siku sitafikia karibu 5,000,000/=
1. Hamuoni kuwa Polisi nao wanastahili kupata mshahara kama huo maana wao wanahatarisha maisha yao binafsi na maisha ya wale wanaolindwa na hao waheshimiwa?
2. Hamuoni askari magereza nao wanahitaji mshahara kama huo maana kazi wanayofanya ya kulinda wahalifu ni hatari na inawafanya wafanane na hao wafungwa kwani inabidi wawe nao sambamba muda wote?
3. Hamuoni kuwa uhamiaji nao wanahitaji mshahara kama wenu maana wanafanya kazi hatari ya kuhakikisha nchi hii haipati wageni wasio rasmi hivyo kukulinda wewe na wenzako dhidi ya wageni wa aina hiyo?
.
.
.
.
.
Kitendo walichofanyiwa interns si cha kiungwani. Ninakilaani na Lazima kiongozi mmojawapo Wizarani awajibike kwa hilo!!! Kwa upande wenu Ingekuwa vema kama mngeendelea na hoja yenu ya kushinikiza Mponda, Nkya, Nyoni na Mtasiwa wafukuzwe. kwa kufanya hivo mngeonyesha usomi na weledi!! ila mambo mnayodai ni ubinafsi ambao hauna tofauti na ule ubinafsi wa Wabunge!!!
Kwanza mnaposema kazi ya kutibu mgonjwa ni hatari kwa afya yako nami ntasema kazi ya kuwasha mtambo wa kihansi au kulinda majambazi gerezani ni hatari kwa maisha ya mtu anayefanya hiyo kazi [wewe ni hatari kwa afya yako lakini mwenzako ni hatari kwa maisha yake]!. Na nitazidi kukueleza kwamba hatari zoote zinazoambatana na hizo kazi zimeondolewa na mafunzo mlopata kwa kazi husika kwa hiyo msije na visingizio vya hatari!!! kila mtumishi ana hatari zake pale alipo!!! Tatizo lenu mnapojiangalia kwenye vioo mkaona miwani mlovaa ilhali wengine hawajavaa miwani, then mnajiona m- zaidi ya wengine!!!! ACHENI HUO ULIMBUKENI WA KI-KIBINAFSI NA KIMASKINI USIO NA WELEDI ASILANI!!!!!
BADILISHENI MAUDHUI YA MGOMO WENU AU RUDINI KAZINI!!!!!!!!!!!!

Mkuu unajua chimbuko la mgomo huu,je unataka kusema nini sasa juu ya mishahara walizopendekeza?je unaziona ni nyingi sana na nchi haina uwezo wa kuwalipa?na kwa nini unadharau sana hao madaktari kwa kuwaita malimbukeni?mi nadhani wewe ndio limbukeni,maana inavyoonekana haupo hapa TZ umekurupuka tu kutoka usingizini ukawahi kwenye JF,hapa hela zipo za kutufanya tupate huduma za kijamii kama huko uliko ulaya,hapa kuna kila kitu tatizo sio ubinafsi kwa madaktari kama unavyodhani,mabinafsi ni wanasiasa hasa walioko CCM,na mbaya wetu hapa tz ni CCM.maana ndie anaekusanya kodi,ndie anaepenga matumizi,ndie anaeingia mikataba mikubwa yenye masilahi kwa taifa,na hujiulizi tu ya kuwa kwanini kila mahali kuna tishio la migomo isiyo isha?kwa nini hawajatafuta suluhu ya kudumu?madaktari wako sahihi
 
Back
Top Bottom