mi naoana kama danganya toto 2. ngoja tususubiri huo mwezi 1 waliopewa na ma dr. nahisi kama mchezo waliocheza pinda na na hao katibu mkuu na mganga mkuu. nahisi ilikuwa kama hivi" (waziri mkuu)- ndugu zangu wananchi wanaumia , hawa jamaa nishawapiga mkwara lkn bado wanagoma na wanataka ninyi muondoke. sasa mi naenda kuzuga kama nawafukuza kazi lkn msijali tupo pamoja , wakisharudi kazini tutajua huko baadae jinsi ya kuwashughulikia"Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.
Tofauti ya Jairo na Nyoni ni nini? Au ndiyo matabaka yenyewe kwenye uongozi!! Nashindwa kuelewa kwa nini Pinda alishindwa kumshushia nyundo Jairo kama alivyofanya kwa Nyoni?
Tofauti ya Jairo na Nyoni ni nini? Au ndiyo matabaka yenyewe kwenye uongozi!! Nashindwa kuelewa kwa nini Pinda alishindwa kumshushia nyundo Jairo kama alivyofanya kwa Nyoni?
This country is funny....
Pinda kabwabwaja weee kuhusu ulimboka, mpnda kabwabwaja wee kuhusu ulimbika, sasa kiko wapi?View attachment 47064
Mganga mkuu wamemwonea.