Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Nakumbuka rais akiwa safarini Pinda alishindwa kumuwajibisha Jairo, Leo hii Rais yupo nje ya nchi nasikia Pinda kamuwajibisha Blandina Nyoni. Hivi Jairo na Nyoni wanatofautiana nini? kama wapo sawa Pinda katoa wapi mamlaka ya kumuwajibisha Nyoni? Najaribu kutafakari kabla sijamdharau kabisa Pinda.