Pinda alifaa kuwa Waziri wa Mashambani na Si Waziri Mkuu

me sishangai pinda kuwa mmojawapo wa mafisadi wa nchi hii ila tatizo ni kuwa hata akili yake ya kawaida haifanyi kazi tena na ndo maan hata cku alipotoa maamuzi kuhusu madaktar hakuongea kama mtu anaefikiri, ni sawa tunajua hakuna mtu wake wa karibu anaeweza kutibiwa katika hospital zetu ila wenzake wanajitahidi ni mafisadi ila katika baadhi ya maamuzi huwa wanaonekana wana busara kama EDDO EL namuamini katika kuigiza kuwa ana uchungu na nchi hii na watu wake, ingawa c kweli so pinda ni fisadi tu tena asokuwa hata na chembe ya huruma.
 
GrEatThinkers,

............................
Alitumia vigezo gani-sasa mbona leo wanasheria hao hao kina Mzee Six anawabeza.

Ingawa hayuko kama yule Mtalii anayetafuta riziki kwa safari,Uzalendo anao lakini hauna meno.

Hafai kuwa waziri Mkuu wa Tanzania ya Leo. Alifaa kuwa waziri wa mashambani afundishe Power Tiller.

:A S-coffee:Mimi yangu ni hayo:A S-coffee:
Nadhani hapa umewashambulia/attack wote wanaojihusisha na jukumu kufundisha matumizi ya Power Tillar, na wote anaoshughulika na shughuli za shambani. Sijaelewa umetoa comment hii kwa sababu ya ulizaliwa hospitali za mjini , ukakulia flat za NHC, na unafanyakazi mwaro/loni(kandokando ya bahari) maeneo ya feri DSM?
 
GrEatThinkers,

Nilitegemea waziri mkuu awe ndiyo kinara wa kukomaa na mawaziri wake.

Staili ya huruma huruma,Chozi chozi ya Mtoto wa Mkulima kinyume chake inatuCost,

Tanzania ya leo haikustahili iwe ya kuchekeana hivyo.Ilifaa waziri Mkuu aggressive.

Namuona anaStaki Nataka Nyiiingi, ambazo zinanipa jibu kuwa hajiamini.

Kauli yake juu ya Mahakama ya Kadhi "Mguu nje,Mguu ndani"

Kauli yake juu ya katiba "Nitamshauri Rais akiona inafaa...."

Kauli yake juu ya Dowans "Ikibidi kuilipa Dowans tutailipa"

Yeye ndiye aliyeuvunja mkataba wa Dowans, tena si muda mrefu wote tunajua.

Alitumia vigezo gani-sasa mbona leo wanasheria hao hao kina Mzee Six anawabeza.

Ingawa hayuko kama yule Mtalii anayetafuta riziki kwa safari,Uzalendo anao lakini hauna meno.

Hafai kuwa waziri Mkuu wa Tanzania ya Leo. Alifaa kuwa waziri wa mashambani afundishe Power Tiller.

:A S-coffee:Mimi yangu ni hayo:A S-coffee:

Inamaa hiyo sekta ingeanzishwa spesho kwaaji ya pinda siyo. Eti waziri wa mashambani du mmemchoka
 
Huyu mzee ni clean lakini ananipa mashaka sana.. upole umezidi!!
Yeye kazi yake ni kujitetea kila siku tuu kuwa yeye ni mtoto wa mkulima....Najiuliza anadhani kazi ya uwaziri mkuu ni kujitetea kua huna mali??
Kwa kweli kwa hali ilivyo tanzania kwa sasa tunahitaji waziri mkuu ambaye ni more than mjeshi. Waziri mkuu pamoja na kumshauri rais lakini anatakiwa awe na msimamo mkali kuhusu mambo anayomshauri rais na si kuwa lege lege tu kisa rais alikupendekeza!!
Kumbuka umependekezwa na rais lakini unatumia kodi zetu na upo kwa ajili ya kusimamia maslahi yetu

Mwenzio hapo ndo kafika mwisho wake ktk utendaji hawezi kufanya mengine zaidi ya hapo na hata mafisadi hawampi huo mwanya
 
Huyu mzee ni clean lakini ananipa mashaka sana.. upole umezidi!!
Yeye kazi yake ni kujitetea kila siku tuu kuwa yeye ni mtoto wa mkulima....Najiuliza anadhani kazi ya uwaziri mkuu ni kujitetea kua huna mali??
Kwa kweli kwa hali ilivyo tanzania kwa sasa tunahitaji waziri mkuu ambaye ni more than mjeshi. Waziri mkuu pamoja na kumshauri rais lakini anatakiwa awe na msimamo mkali kuhusu mambo anayomshauri rais na si kuwa lege lege tu kisa rais alikupendekeza!!
Kumbuka umependekezwa na rais lakini unatumia kodi zetu na upo kwa ajili ya kusimamia maslahi yetu

huyu sio mpole ni mjinga na muoga na zezeta bana...we umri ule analialia
 
sitaki hata kumoona huyu pinda tulifikiri tumepata kumbo lohhhhhhhhhh tumepatikana hakuna mtu hapo, si mjamaa si mbeberu haeleweki haitajiki katika tz ya leo
 
Kuhusu umri nadhani yeye alitakiwa kustaafu long time. Kwani muonekano wake ni kama mzee wa zama au mnsemaje?
 
GrEatThinkers,

Nilitegemea waziri mkuu awe ndiyo kinara wa kukomaa na mawaziri wake.

Staili ya huruma huruma,Chozi chozi ya Mtoto wa Mkulima kinyume chake inatuCost,

Tanzania ya leo haikustahili iwe ya kuchekeana hivyo.Ilifaa waziri Mkuu aggressive.

Namuona anaStaki Nataka Nyiiingi, ambazo zinanipa jibu kuwa hajiamini.

Kauli yake juu ya Mahakama ya Kadhi "Mguu nje,Mguu ndani"

Kauli yake juu ya katiba "Nitamshauri Rais akiona inafaa...."

Kauli yake juu ya Dowans "Ikibidi kuilipa Dowans tutailipa"

Yeye ndiye aliyeuvunja mkataba wa Dowans, tena si muda mrefu wote tunajua.

Alitumia vigezo gani-sasa mbona leo wanasheria hao hao kina Mzee Six anawabeza.

Ingawa hayuko kama yule Mtalii anayetafuta riziki kwa safari,Uzalendo anao lakini hauna meno.

Hafai kuwa waziri Mkuu wa Tanzania ya Leo. Alifaa kuwa waziri wa mashambani afundishe Power Tiller.

:A S-coffee:Mimi yangu ni hayo:A S-coffee:
hata mashambani kusingemfaa kwani matunda ya kilimo kwanza bado hayajaturidhisha
 
GreatThinkers,
Hatimaye ZITTO katamka, zinahtajika sahihi 70 kumng'oa huyu mzembe.
Jamani hamasisheni wabunge wa CCM nao waunge mkono hoja.
Pinda hafai
 
GrEatThinkers,

Nilitegemea waziri mkuu awe ndiyo kinara wa kukomaa na mawaziri wake.

Staili ya huruma huruma,Chozi chozi ya Mtoto wa Mkulima kinyume chake inatuCost,

Tanzania ya leo haikustahili iwe ya kuchekeana hivyo.Ilifaa waziri Mkuu aggressive.

Namuona anaStaki Nataka Nyiiingi, ambazo zinanipa jibu kuwa hajiamini.

Kauli yake juu ya Mahakama ya Kadhi "Mguu nje,Mguu ndani"

Kauli yake juu ya katiba "Nitamshauri Rais akiona inafaa...."

Kauli yake juu ya Dowans "Ikibidi kuilipa Dowans tutailipa"

Yeye ndiye aliyeuvunja mkataba wa Dowans, tena si muda mrefu wote tunajua.

Alitumia vigezo gani-sasa mbona leo wanasheria hao hao kina Mzee Six anawabeza.

Ingawa hayuko kama yule Mtalii anayetafuta riziki kwa safari,Uzalendo anao lakini hauna meno.

Hafai kuwa waziri Mkuu wa Tanzania ya Leo. Alifaa kuwa waziri wa mashambani afundishe Power Tiller.

:A S-coffee:Mimi yangu ni hayo:A S-coffee:

Naona kama uko myopic- kwa macho yangu tatizo kubwa ni rais na si waziri mkuu, naona kama watanzania wanamuogopa huyu smilling boy
 
Halafu anawadanganya watu kuwa mtoto wa mkulima. Akiwa Tamisemi alikula hela sana huyu mzee.
 
Jamani nilikuwa Sumbawanga juzi. Katika pitapita zangu nikakutana na mzee mmoja mfanyabiashara pale ambaye nilikuwa na urafiki na mwanaye wakati nikiwa nasoma Kantalamba miaka ya 1990,huyo Mzee katika stori zetu ndo kaniweka wazi kuwa kampuni ya mabasi ya SUMRY na huyu anayejiita Mtoto-wa-Mkulima yumo.

Jamani hizo nyingine ni stori za vijiweni tu. kuweni makini, Pinda na Sumry wapi na wapi?!!
 
Back
Top Bottom