spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GrEatThinkers,
Nilitegemea waziri mkuu awe ndiyo kinara wa kukomaa na mawaziri wake.
Staili ya huruma huruma,Chozi chozi ya Mtoto wa Mkulima kinyume chake inatuCost,
Tanzania ya leo haikustahili iwe ya kuchekeana hivyo.Ilifaa waziri Mkuu aggressive.
Namuona anaStaki Nataka Nyiiingi, ambazo zinanipa jibu kuwa hajiamini.
Kauli yake juu ya Mahakama ya Kadhi "Mguu nje,Mguu ndani"
Kauli yake juu ya katiba "Nitamshauri Rais akiona inafaa...."
Kauli yake juu ya Dowans "Ikibidi kuilipa Dowans tutailipa"
Yeye ndiye aliyeuvunja mkataba wa Dowans, tena si muda mrefu wote tunajua.
Alitumia vigezo gani-sasa mbona leo wanasheria hao hao kina Mzee Six anawabeza.
Ingawa hayuko kama yule Mtalii anayetafuta riziki kwa safari,Uzalendo anao lakini hauna meno.
Hafai kuwa waziri Mkuu wa Tanzania ya Leo. Alifaa kuwa waziri wa mashambani afundishe Power Tiller.
:A S-coffee:Mimi yangu ni hayo:A S-coffee:
Nilitegemea waziri mkuu awe ndiyo kinara wa kukomaa na mawaziri wake.
Staili ya huruma huruma,Chozi chozi ya Mtoto wa Mkulima kinyume chake inatuCost,
Tanzania ya leo haikustahili iwe ya kuchekeana hivyo.Ilifaa waziri Mkuu aggressive.
Namuona anaStaki Nataka Nyiiingi, ambazo zinanipa jibu kuwa hajiamini.
Kauli yake juu ya Mahakama ya Kadhi "Mguu nje,Mguu ndani"
Kauli yake juu ya katiba "Nitamshauri Rais akiona inafaa...."
Kauli yake juu ya Dowans "Ikibidi kuilipa Dowans tutailipa"
Yeye ndiye aliyeuvunja mkataba wa Dowans, tena si muda mrefu wote tunajua.
Alitumia vigezo gani-sasa mbona leo wanasheria hao hao kina Mzee Six anawabeza.
Ingawa hayuko kama yule Mtalii anayetafuta riziki kwa safari,Uzalendo anao lakini hauna meno.
Hafai kuwa waziri Mkuu wa Tanzania ya Leo. Alifaa kuwa waziri wa mashambani afundishe Power Tiller.
:A S-coffee:Mimi yangu ni hayo:A S-coffee: