KAMANDA HANGA
Senior Member
- Sep 22, 2011
- 158
- 58
PM wetu angefaa sana kuwa muhudumu wa mortuary ili alie vizuri hadi atosheke.
pinda angefaa sana kuwa mwalimu mkuu wa chekechea sio mp. Kauli na hisia zake ni kuwapoza kindergatern sio watu wazima. "wanaoua nao wauawe" pinda huyo, alafu anamwaga chozi; "madaktari walogoma wamejifukuza" pinda huyo, alafu maiti mpaka milangoni muhimbili, yeye kimya. "magufuri anatoa mabango barabarani pinda anamfokea" pinda huyohuyo. Jk sifa yako inapotea gafla sababu pinda hajui lakufanya, mpeleke semina elekezi yake peke yake tena mafichoni umpe job discription labda atabadirika. Pole jk.