KBOSCO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 377
- 82
Akitangaza kung'atuka inatumia muda gani kumweka kizuizini.
Kizuizini kwa kosa lipi?
mbona mko faster vjana nyie?
Hajala pesa hata senti. Wacheni chuki bnafsi jamani
Akitangaza kung'atuka inatumia muda gani kumweka kizuizini.
Leo cjui watambembeleza au vp!bt binafsi naona hili ni ngumi
TETESI;AGREY MWANRI WAZIRI MKUU MPYA.
chanzo:hisia zangu na mke wangu.
Taarifa zilizonifikia japo sijazibitisha ni kwamba waziri mkuu pinda amekubali yaishe kwenye kikao cha uongozi bungeni kilichodumu kwa zaidi ya masaa matatu. Stay tune
kujihudhuru sio mpaka atake hata asipotaka tutamhudhurisha mshenzi huyu! Hatuwezi kumpa mwizi ajichagulie adhabu huu utakuwa wendawazimu! Kwanza hapaswi kufunua domo lake kuongea, yeye fact ziongee!!
NA AKIKATAA KUJIHUDHURU ATAPIGWA TU, NA MIMI NASEMA APIGWE TU.
TETESI;AGREY MWANRI WAZIRI MKUU MPYA.
chanzo:hisia zangu na mke wangu.
Akikataa kujihudhuru na APIGWE TU.Mh Pinda hawezi kufanya hivyo ni king'ang'anizi sana!
Kuna habari za kuaminika kuwa KINANA atapewa UWAZIRI MKUU mara baada ya PINDA KUNYOOSHWA jioni hii.
Source: Tembo ( Mikumi).
Mimi nimesikia pia Tibaijuka, Muhongo na Beno Nduru wataachia ngazi hivi punde sasa najiuliza CCM ndo munataka kucheza kalata ipi kwa kuwatoa kafara hao? sisi tunataka waende Mahakamani wafilisiwe hapo ndipo tutaona aki imetendeka, lasivyo hata hao watateuliwa na Mkulungwa wataiba tu.
Jela ndiyo mahala pao.Kung'oka tu haitoshi! Warudishe walivyo pora na waswekwe ndani.
Kumbuka Na Mbowe naye wanamtaja taja...
Taarifa zilizonifikia japo sijazibitisha ni kwamba waziri mkuu pinda amekubali yaishe kwenye kikao cha uongozi bungeni kilichodumu kwa zaidi ya masaa matatu. Stay tune