Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
inapotokea wewe huna time na yake lakini yeye ndio kazi yake kupekua yako inakuwaje?.....mana nakerekaga sana, ukitoka kidogo tu unakuta cmu imepekuliwa mpaka bac.
Mi nikimfuma anapekua pekua na kujaribu jaribu password atakiona cha mtema kuni.
Cmu yangu binafsi hauiguswi hata chembe.