FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Hivi nani alisoma na Nape o level alipata div gani na A level alipata nini? Manaake msije mkawa mnaelezea mambo magumu!
Mkuu,kuwa mvumilivu.
Sikusoma naye ila ninaifahamu historia ya elimu yake.
Siku nikiamka vibaya nitapata muda wa kuichambua elimu ya jamaa kwa hizo ngazi unazotaka kujua.
Ninajua wengi mna hamu ya kuijua.Ila kwa sasa jua tu kuwa alikuwa na matokeo mabaya.
Nadhani hata yeye mwenyewe huwa yanamnyima amani!