Pigo kwa Mnyika: Kukosa fursa 'nono' kisa hana shahada

Kuna sehemu pale mitaa ya samora zipo za kuchonga...
Kichwa kizuri kama kile hakiwezi kuchonga degree. Tambua pia drop outs za University huku uswahilini ni dhahabu ambazo hata wasomi huja kugundua na kuzitumia.....Kasome habari za Steve Jobs na Bill Gates hata scientist wakali kama Charles Darwin na Gregor Mendel. Akili bora kabisa duniani haikupatikana shuleni bali huko tunakwenda kutafuta vyeti na kutambulika (recognition) tu.[h=1][/h]
 
kuwa smart hakuitaji university diploma au hata degree..kunahitaji akili za kuzaliwa na mambo yooote yankwenda muruwa.
refer BILL GATES.....huyu bwana kafanya mambo makubwa bila hata hiyo degree unayoisema wewe maana aligunduwa akili anazo nyingi kiasi kwamba akienda shule wanamuingizia ujinga kichwani...he dropped out immediatelly na akaingia mtaani kufanya yake.

maisha ya jj mnyika ni zaidi ya kuwa mwenyekiti wa tume au hata mjumbe wa tume maana kwa kuwa mwenyekiti wa kamati una-influence kwa wana-kamati wako tuu..but kwa kuwa mbunge wa bunge la tanzania ana-influence kwa watu wa tanzania takribani 50million.

zinduka acha ujinga tambua umuhimu wa informal education na purpose ya msingi ya elimu ni kumuwezesha mwenye elimu kuyakabili mazingira yanayomzunguka katika maisha yake ya kila siku.

for your information....jj mnyika ni better off 200% ukimlinganisha na wafuatao
1- prof Muhongo
2- prof Majimarefu
3- dr. asharose migiro
4- dr. bansern burner
5- dr. nchimbi ema
6- dr. kigwangala
7- ridhiwani
8- dr. j.k
9- dr. seliana kombani
10. dr. vick kamata.

ni hayooo tuuu.
 
kweli nyie ndo wenye sera ya kuifanya elim iwe bure! Cdm mbna mnachukia sana elim,?

na unaongelea elimu ipi kati ya hizi zifuatazo
1- baada ya uhuru enzi za uongozi wa nyerere?
2- baada ya nyerere enzi za mzee mwinyi?
3- baada ya mwinyi enzi za nzeee nkapa?
4- baada ya nzee nkapa enzi za division 5 na shule za kata na maswali ya hisabati ya kuchagua?

kwa IQ ya jj mnyika kusoama elimu hii ya div 5 ni kumuingizia ujinga na kufisha kipaji chake...mnyika hatakiwi kufanya mtihani wenye majibu ya kuchagua watu wanafauli kwa kuimba ana-ana ana dooo displini......endelea bana na wewe huo wimbo si unaujuwa.
jj mnyika anatakiwa kufanya mtihani unaompika uelewa wake wa 2+2 kwanini iwe 4 na sio 22.....sijui umenielwea nachomaanisha?

mnyika sio wa kusoma uzalishaji wa umeme kwa kutumia fossil engine au treni za kuni...huyu anatakiwa asome train ya umeme na sio tuu normal train bali aanzie na bullet trains.....umeelewa lakini?

jj mnyika ni level ya kina steve jobs, bill gates, mimi hapa, kina nyerere, kina kwame nkrumah, patrice lumumba, isack newton, albert einsten na wengineo wachache sana tuliobaki duniani.

ni hayo tuuu.
 
na unaongelea elimu ipi kati ya hizi zifuatazo
1- baada ya uhuru enzi za uongozi wa nyerere?
2- baada ya nyerere enzi za mzee mwinyi?
3- baada ya mwinyi enzi za nzeee nkapa?
4- baada ya nzee nkapa enzi za division 5 na shule za kata na maswali ya hisabati ya kuchagua?

kwa IQ ya jj mnyika kusoama elimu hii ya div 5 ni kumuingizia ujinga na kufisha kipaji chake...mnyika hatakiwi kufanya mtihani wenye majibu ya kuchagua watu wanafauli kwa kuimba ana-ana ana dooo displini......endelea bana na wewe huo wimbo si unaujuwa.
jj mnyika anatakiwa kufanya mtihani unaompika uelewa wake wa 2+2 kwanini iwe 4 na sio 22.....sijui umenielwea nachomaanisha?

mnyika sio wa kusoma uzalishaji wa umeme kwa kutumia fossil engine au treni za kuni...huyu anatakiwa asome train ya umeme na sio tuu normal train bali aanzie na bullet trains.....umeelewa lakini?

jj mnyika ni level ya kina steve jobs, bill gates, mimi hapa, kina nyerere, kina kwame nkrumah, patrice lumumba, isack newton, albert einsten na wengineo wachache sana tuliobaki duniani.

ni hayo tuuu.

Mtu yeyote anaechukia elimu (mfano wewe) ni lazima mtakuwa kwenye kapu moja na Mnyika la kukimbia shule.

Pamoja na yote uliyoeleza (ingawa ni pumba tupu) ila the fact remains kuwa Mnyika HANA shahada na Watanzania wenye elimu zetu hatutaki kuongozwa na vilaza. Simple as that.

BTW: katazame biography ya Bill Gates, Steve Jobs na Mark vizuri maana naona umedanganywa na wewe ukadanganyika kuhusu hao watu.
 
Hatuna maana ya kwamba kama hauna elimu ya juu huwezi kuwa kiongozi,wewe unafikiri kwann rasimu ya katiba inapendekeza kuwa mtu ayetaka kugombea nafasi ya ubunge lazima awe na angalau elimu ya kidato cha 4?kwani hawakujua kwamba uongozi ni kipawa toka kwa mungu?hata viongozi wa dini mashee,mapadre na washungaji wanaenda shule ili kuongeza maarifa, kama kipawa toka kwa mungu basi hata hawa viongozi wasingeenda shule.Pia yeye si pekee mwenye kipawa cha uongozi kuna wenzake pengine kumzidi yeye lakini wanaenda shule,sema tu anaogopa kwenda kutafuta course work sahiz.Nimalize tu kwa kusema namkubali sana mh.Mnyika kama mbunge wenye uwezo wa argue akiwa bungeni, na nina uhakika hakuna mtanzania ambaye hamkubali mh.mnyika.
 
Kichwa kizuri kama kile hakiwezi kuchonga degree. Tambua pia drop outs za University huku uswahilini ni dhahabu ambazo hata wasomi huja kugundua na kuzitumia.....Kasome habari za Steve Jobs na Bill Gates hata scientist wakali kama Charles Darwin na Gregor Mendel. Akili bora kabisa duniani haikupatikana shuleni bali huko tunakwenda kutafuta vyeti na kutambulika (recognition) tu.[h=1][/h]

Wangewajua hao viumbe wala wasingekuja kuropoka hapa
 
sasa mtu na akili zake anajiitaje KIBOGA?

Uzezeta huu

Mi-bavichaaa hovyo sana

Kama mimi ni BAVICHA wewe wakati ulipokuwa unaishabikia CHADEMA kwa sababu ya uwepo wa Zitto ulikuwa jumuia ipi ya CHADEMA au ulikuwa CHADEMA kwa kuwa ulikuwa au ni mke Mtarajiwa wa ZITTO maana nyie vibinti mkiona mtu hajaoa mnampapatikia sana.
 
du kwakuwa sheria imesema hivyo, ila wangeangalia uwezo wa mtu binafsi ingefaa, sasa kwani mwenye shahada ndio mwenye akili? mleta mada umeleta kishabiki, aya basi wapewe wenye u Dr wa mtaani na u prof wa buguruni.
ushauri mleta mada washauri ndugu zako pia wasome hizo shahada watapata kazi nzuri na kuwa wenyeviti hata wa vitongoji.
 
Unaweza kukuta wote mnaochangia na kusapoti swala la kutokua na shahada nyie mnazo mnampamba mnyika bure....maoni tu!
 
Kama mimi ni BAVICHA wewe wakati ulipokuwa unaishabikia CHADEMA kwa sababu ya uwepo wa Zitto ulikuwa jumuia ipi ya CHADEMA au ulikuwa CHADEMA kwa kuwa ulikuwa au ni mke Mtarajiwa wa ZITTO maana nyie vibinti mkiona mtu hajaoa mnampapatikia sana.

mimi najitambua siwez kuishabikia chadema,wala mwanasiasa yoyote yule

kama ulijidanganya kwa hilo basi umejiongopea sana,

Labda wewe KIBOGA unaweza kuwa cheap kwao,bila shaka hata kiboga pia unawapa,si ndio zenu?
 
Ukija na ile ID yako ile nyingine unakuwa sawa. Ukitumia hii unakuwa kama chizi vile, why?

Kwa upeo wako, mpaka sasa kuna mbunge gani awe ni Prof,Dr ana dregree level anamzidi JJ Mnyika, iwe kwa Hoja,Mswaada binafsi, kuuliza maswali,ama kuchangia kwa mdomo na maandishi bungeni toka 2010, nani anaongoza!?

Achilia mbali uvaaji wa Mnyika toka yupo UDSNM nani anaongoza kwa wabunge wote?

Achilia mbali kipaji alicho nacho ni kijana yupi aliwapoa seminer wabunge akiwemo JK kipindi kile mbunge na seminer ikawa na mashiko na kuanzisha sera ya vijana?

Ni mbunge yupi ama mjumbe yupi hatembelei ama kumiliki gari la kifahari zaidi ya JJ Mnyika? Coz mpaka leo anatumia Toyota vitz.,

MNYIKA kwa kuwa na serikali mbovu, walimbania UDSM, degree yake ( nchi zingine ni graduate) lakini Mnyika ni zaidi ya Graduate wa hayo ma PhD na prof wenu, sababu kawazidi wote hadi mkuu wa nchi kwa uelewa na michango yake(kigezo bungeni nani zaaidi)kama raisi ni sehemu ya Bunge?

Daima huwa sijutii kukesha na kulinda kura za JJ Mnyika Ubungo.

Namshukuru pia alishawahi kujibu kuwa, atasoma siku ambapo CHADEMA itachukua nchi, kwa sababu sasa haoni umuhimu huo coz anawazidi hadi ma prof wa maccm.

Ok JK Phd ameipata wapi?

Nyie ndio mnaomtia Mtoto huyo Mnyika ujinga wa kuona siasa ni bora kuli ilmu kwa maana shahada.

Hakika katika maisha atakosa fursa nyingi sana kama atakuwa HANA DEGREE.

umri wake bado mdogo sana na ana nafasi kubwa ya kujiendeleza kisiasa na hata kimaisha KWANI UBUNGE SIKU ZOTE UNA MWISHO LAKIN ILMU HAINA MWISHO.

ACHA UJINGA MNYIKA RUDI SKULI. NENDA HATA OPEN UNIVERSITY









 
Mtu yeyote anaechukia elimu (mfano wewe) ni lazima mtakuwa kwenye kapu moja na Mnyika la kukimbia shule.

Pamoja na yote uliyoeleza (ingawa ni pumba tupu) ila the fact remains kuwa Mnyika HANA shahada na Watanzania wenye elimu zetu hatutaki kuongozwa na vilaza. Simple as that.

BTW: katazame biography ya Bill Gates, Steve Jobs na Mark vizuri maana naona umedanganywa na wewe ukadanganyika kuhusu hao watu.

What do you mean kwamba huyu jamaa anachukia Elimu? Unajua maana ya elimu kweli wewe? Mpaka hapa sina doubt kuwa wewe kwako "elimu" ni vyeti. Ingekuwa hivi Bongo hii tungekuwa far sana!!.....

Kuna "kusoma" na "kuelimika" ndugu; Mnyika ni mtu aliyelimika rafiki yangu na hilo unaliona moja kwa moja katika utendaji kazi wake wa kila siku. Karatasi inayoonesha kuwa sijui una Stashahada,shahada,masters au Phd katika eneo flani is just recognition, na katika hili unaweza tu kumtambua JJ na wala huna haja ya kumpeleka Havard University!!.

Haya twende mbele zaidi;Hivi kina Mrema Lyatonga, Jakaya Kikwete na wengineo wanaofanana na hao si ni Ma - Dr hawa na wana vibandiko (labels) vya Phd kwenye mapaji ya nyuso zao, lakini impact yao iko wapi katika jamii yetu?....Hakuna!!....Au ndiyo kwa ajili ya kunyemelea "opportunity?" za kifisadi tu?... Na unajua maana ya "Fursa" kweli wewe?.....Nikuambie kitu? Fursa humwangukia hata ambaye hajazaliwa,akizaliwa tu anaikuta fursa yake inamsubiri anaivuta...Huhitaji kwenda shule za kina Kanumba,shule inaanzia tumboni , ndo hawa kina JJ, wewe unapiga mayowe tu!

Kusema haya haina maana kwamba wewe usiende darasani,nenda kapate vyeti,maana fursa yako inawezekana inategemea "shahada!!"

Na BTW; Hiyo katika red bold.....Kwa nini wewe "usimdanganyue" huyu jamaa kwa kuzileta "Bioagraphy" za hao jamaa straight hapa kutetea hoja yako,uthibitishe kuwa wamedanganywa wakandanganyika? Wewe si ndiye mleta hoja? Au utamwambia na huyu akafunue tovuti ya Bunge ambayo haiko updated tangu mwaka 2009?
 
Waliosomea Vyeti hawajui kwa nini walisoma. Elimu Ni ufunguo, inapaswa itumike kuanzishia mambo tu. Elimu ya kukariri si Elimu tunayohitaji Tanzania bali tunahitaji uwezo wa kubuni mambo yatakayo wezesha kutatua matatizo ya jamii yetu. Elimu ya ma'degree' ni kwa ajili ya kumudu kuajiliwa. Je maprofesa tulio nao wamevumbua nini au kubuni mifumo yoyote ya kusaidia jamii yetu, Naomba orodha na kile walichochangia. Kama Hamna, wasomi wa ma'degree' kaeni kimya. Nijibuni hata kwa private message
 
Back
Top Bottom