mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
tatizo la chama cha upinzani kikiamua kujiunga na chama tawala basi ujue ndio mwanzo wa kufa kwa chama. Mfano angalia kule uk, liberal democrats walifanya kosa la kujiunga na conservatives sasa hivi hicho chama ndio kimeshakufa na uchaguzi mkuu wa uk hawatapata hata kiti kimoja cha ubunge.