hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Katika ule muendelezo WA kuangamia kwa chama cha wananchi CUF almaarufu Ngangari, Uongozi WA Sekretarieti ya Vijana Taifa ya chama hicho Bara imejiuzulu rasmi hapo tar.08-06-2012.
Waliojiuzulu ni pamoja na Mwenyekiti wao MHE. Mohamed Babu, Naibu Katibu Mkuu WA Sekretarieti Bara MHE. Abubakar Kitogo, Mkurugenzi WA Fedha MHE. Maulid Said, Mkurugenzi WA Mafunzo na Mausiano Vijana MHE. Dalia Majid, Mkurugenzi WA Mipango na Uchaguzi MHE. Grace Mgumba.
Wengine ni Wajumbe WA Sekretarieti hiyo ambao ni Mussa Mbarouk (Diwani CUF - Tanga), Daalin Mlenga na Asumini Maringo Shayo.
Hili ni pigo jingine kubwa kwa Oganaizesheni hiyo HASA ukizingatia MIEZI michache aliyekuwa Mkurugenzi WA Sanaa na Utamaduni MHE. Omar Costantine kujiuzulu na kuhamia chama kipya cha ADC.
Tukio hili limetokea sambamba na Naibu Katibu Mkuu Bara MHE. Julius Mtatiro akiwa safarini kikazi mkoani Arusha kupoteza Laptop na nyaraka nyingine muhimu za chama.
Ndani ya Laptop hiyo kulikuwepo na MPANGO MKAKATI WA CHAMA TAIFA 2013/2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao WA 2015.
Same source.
Waliojiuzulu ni pamoja na Mwenyekiti wao MHE. Mohamed Babu, Naibu Katibu Mkuu WA Sekretarieti Bara MHE. Abubakar Kitogo, Mkurugenzi WA Fedha MHE. Maulid Said, Mkurugenzi WA Mafunzo na Mausiano Vijana MHE. Dalia Majid, Mkurugenzi WA Mipango na Uchaguzi MHE. Grace Mgumba.
Wengine ni Wajumbe WA Sekretarieti hiyo ambao ni Mussa Mbarouk (Diwani CUF - Tanga), Daalin Mlenga na Asumini Maringo Shayo.
Hili ni pigo jingine kubwa kwa Oganaizesheni hiyo HASA ukizingatia MIEZI michache aliyekuwa Mkurugenzi WA Sanaa na Utamaduni MHE. Omar Costantine kujiuzulu na kuhamia chama kipya cha ADC.
Tukio hili limetokea sambamba na Naibu Katibu Mkuu Bara MHE. Julius Mtatiro akiwa safarini kikazi mkoani Arusha kupoteza Laptop na nyaraka nyingine muhimu za chama.
Ndani ya Laptop hiyo kulikuwepo na MPANGO MKAKATI WA CHAMA TAIFA 2013/2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao WA 2015.
Same source.