Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
Vinega wamefulia.
Clouds ndio mmefulia. Yaani isingekuwa Fabulous na ile danganya toto ya DMX msingepata mtu
Vinega wamefulia.
Mbona unasikiliza miziki ya Eltaon John ambaye ni shoga na jamii yake? Acha U Ruge hapa JF wewe?Huyu ni DJ sox wa mabaga fresh cheki alivyo mchafu akafu anataka alipwe ela sawa na fabolous hahahahaha ananukaa yoo...
Clouds ndio mmefulia. Yaani isingekuwa Fabulous na ile danganya toto ya DMX msingepata mtu
Sasa kama miaka yote mmekuwa mkiwaabia unategemea huo 'usafi' utatokea wapi? Hii ilikuwa ni njia mojawapo ya kuwaonyesha mashabiki wao kuwa kwasababu ya mfumo nyonyezi unaoendekezwa na watu kama Ruuugeeee (aka 'snitch') hawa jamaa ndio maana wako hivyo.
Nyie mbaki na hao 'wasafi' wenu sisi tutaendelea kuburudika na hawahawa mnaowaita 'wachafu'.
Clouds ndio mmefulia. Yaani isingekuwa Fabulous na ile danganya toto ya DMX msingepata mtu
mkuu naona umesahau na ninyi mlikuwa na afande sele mzee wa kusaula nguo na kuwa uchi DUUU USHABIKI BWANA!:juggle:Acha kuendekeza uchafu bi mdogo.
Na shazi hili lazima Ruge na wenzake wameumia sana......hata zile blog zinazowapa support leo hii hawakuonyesha shazi la leaders....man ndio mwisho wa udhulumati wao.....
Na shazi hili lazima Ruge na wenzake wameumia sana......hata zile blog zinazowapa support leo hii hawakuonyesha shazi la leaders....man ndio mwisho wa udhulumati wao.....
Mkuu ukisikia clouds wanavyowapaka jamaa usingesema hayo maneno......kupitia kwa watangwa zaji wao....wamekuwa wanarusha madongo wazi wazi bila uwoga......Tatizo vinega hawana strategies
Kuimba kumtukana ruge na clouds sio kupambana na mfumo mbovu.
Ndio wamenyonywa sana....sasa wamemka....Lakini pia ni ukweli usio pingika kuwa vinega wengi wao kama sio wote ni buch of looser in game
Mkuu ukisikia clouds wanavyowapaka jamaa usingesema hayo maneno......kupitia kwa watangwa zaji wao....wamekuwa wanarusha madongo wazi wazi bila uwoga......
Ndio wamenyonywa sana....sasa wamemka....
Kinega unaitafsiri vipi?.....karibu azam cola na chips mayai uku naangapia step up player ya clouds tv kuna raggamuffin za kufa mtu....Kinega wewe
Kinega unaitafsiri vipi?.....karibu azam cola na chips mayai uku naangapia step up player ya clouds tv kuna raggamuffin za kufa mtu....
Baride arifu....Niaje arifu..
Niaje arifu..
Radio nasikilza sports extra,njiapanda,sports roundup.....uzushi mwingine sisikilzi.....sijui wale wabana pua wa mchana khaOh yeah? Endelea hivyo hivyo...na redio uwe unaskiza.
Radio nasikilza sports extra,njiapanda,sports roundup.....uzushi mwingine sisikilzi.....sijui wale wabana pua wa mchana kha