Picha za ngono tcu.

Mtoa mada anamatatizo lazima. Ndio maana badala ya kuelezea hoja yake vyema anaenda kwenye siasa ya magamba etc. Ujinga huo hapo hakuna siasa
 
Itafikia kipindi mtu akisikia kiu ya maji ya kunywa atamlaumu rais.khaaaah!!
 
Wakati nikitaka kuchunguza kama tcu wameshatoa selection kwenye tovuti yao nimekutana na picha na video za ngono, je ni kweli tcu hawana security ya kuweza kudhibiti website yao au ni uzembe wa serikali.

piga kimya babu hii ishu iko mahakamani
 
Kuongoza watu ni lawama tu. kuna siku rais atalaumiwa kwa nini anaachia watu wanakula kuku na wali majumbani mwao wakati wengine wanakula ugali na maharage. Usiombe kuwa kiongozi, ukitii kila lawama utakufa kabla ya wakati wako.

kwan ulikua unataka alaumiwe nan aliyesababisha income inequality enz za mwalim wote nguna mtindo mmoja
 
NAOMBA NIKUPE PONGEZI KWA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI MKUU.....!!!
TUNAHITAJI SANA WATU KAMA NINYI.
:israel:
 
Naipongeza serikali kwa kutuwekea clip zaapilau kwenye website ya tcu..kwa kweli muendelee na moyo huo huo
 
Huo ni upuuzi unaofanywa na vijana wa chadema kila kukicha kumuhusisha raisi na mambo ya hajabu hajabu siku hizi heshima hamna enzi za mwalimu watu wapuuzi kama hawa walikuwa wanafanywa kitu mbaya ambayo hawezi adisia kwa watu wengine!

bange ni mbaya sana...
 
Huo ni upuuzi unaofanywa na vijana wa chadema kila kukicha kumuhusisha raisi na mambo ya hajabu hajabu siku hizi heshima hamna enzi za mwalimu watu wapuuzi kama hawa walikuwa wanafanywa kitu mbaya ambayo hawezi adisia kwa watu wengine!

Umeshawahi fanyiwa nini? Uliliwa tiGo nini?



Dawa ni kuwa-Limboka tu, iko siku watashika adabu maana kazi hawataki kufanya wao ni migomo tu,
sasa kwa yeyote anayetaka kazi za bure ni JKT huko watajifunza uzalendo, yaani kuanzia kwa Wabunge wao maana ni kambi nzima hakuna aliyepita kwata ni domo tu kuchonga miaka yote 5 mpaka uchaguzi
 
hawa watoto wanaosubiri majibu tcu wanaboa sana humu, wao wanachojua nia siasa za chadema tu toka waambiwe watasomeshwa bure imekuwa nongwa!

ume generalize sana ndugu yangu sidhani kama wote tupo hivo,umekosea be specific or else uwezo wako wa kufikiri ni mdogo!!!!
 
Hivi, kuna mwingine tofauti na mtoa mada alieona. Cause tangu cku anapost nmeangalia cjaona lolote.
 
Welcome to Tanzania
Commission for Universities
(TCU) website
The Tanzania Commission for
Universities (TCU) was
established on 1st July2005,
under the Universities Act
(Chapter 346 of the Laws of
Tanzania) to succeed the
former Higher Education
Accreditation Council which
had been in operation since
1995. Prior to the
establishment of TCU, all
universities and non-
university level higher
education institutions
implemented their
mandatory functions as
stipulated in their individual
Acts of Parliament or
constitutions including the
development of internal
quality assurance systems.
Under the Universities Act,
all Acts of Parliament that
established public
universities and university
colleges were repealed and
these and all other similar
institutions were required by
law to register themselves
under TCU through which they
could be processed for grant
of Charters by His Excellency
the President of the United
Republic of Tanzania.
TCU is thus a body corporate
mandated to recognize,
approve, register and
accredit universities
operating in Tanzania, and
local or foreign university
level programs being offered
by non-TCU registered higher
education institutions. TCU
also coordinates the proper
functioning of all university
institutions in Tanzania so
as to foster a harmonized
higher education system in
the country. In order to
ensure that such a
harmonious higher education
system does not compromise
institutional peculiarities
and autonomy, each
university has the legal right
to operate under its own
Charter.
sex porno video porno porno
hayvanlarla sex porno izle
porno izle porno izle sikis
porno izle porno izle
Go
 
Welcome to Tanzania
Commission for Universities
(TCU) website
The Tanzania Commission for
Universities (TCU) was
established on 1st July2005,
under the Universities Act
(Chapter 346 of the Laws of
Tanzania) to succeed the
former Higher Education
Accreditation Council which
had been in operation since
1995. Prior to the
establishment of TCU, all
universities and non-
university level higher
education institutions
implemented their
mandatory functions as
stipulated in their individual
Acts of Parliament or
constitutions including the
development of internal
quality assurance systems.
Under the Universities Act,
all Acts of Parliament that
established public
universities and university
colleges were repealed and
these and all other similar
institutions were required by
law to register themselves
under TCU through which they
could be processed for grant
of Charters by His Excellency
the President of the United
Republic of Tanzania.
TCU is thus a body corporate
mandated to recognize,
approve, register and
accredit universities
operating in Tanzania, and
local or foreign university
level programs being offered
by non-TCU registered higher
education institutions. TCU
also coordinates the proper
functioning of all university
institutions in Tanzania so
as to foster a harmonized
higher education system in
the country. In order to
ensure that such a
harmonious higher education
system does not compromise
institutional peculiarities
and autonomy, each
university has the legal right
to operate under its own
Charter.
sex porno video porno porno
hayvanlarla sex porno izle
porno izle porno izle sikis
porno izle porno izle
Go

bora kaka umesema walikua hawajaamini ungeweka na zile links kabisa.
 
waliofanya huo upuuzi wachukuliwe hatua stahiki dhidi ya hilo suala la picha z ngono,na tcu waombe radh juu ya hilo!!
 
Back
Top Bottom