The issue is security au unazungumzia you just don't like cdm uniform? Be clear a lit bit. Yes kuna issue ya security sana ktka maandamano ya wananchi na viongozi wa cdm na hasa ulinzi wa viongozi wa cdm. Kweli kuna njama za kuwauwa na kutumia mipango ya ccm, but the complains about the uniforms are bases.
Maybe its best you contact uongozi, kuna uwezekano watakueleza theirs strategy. I always contact uongozi wa cdm na wapo very open to dialog with you na wanapenda sana maoni ya wananchi.
Maybe its best you contact uongozi, kuna uwezekano watakueleza theirs strategy. I always contact uongozi wa cdm na wapo very open to dialog with you na wanapenda sana maoni ya wananchi.