Palestina hana silaha kubwa. Yeye anatumia manati na jiwe huku NATO na Isreal wakitumia mabomu yenye kuangamiza na yaliopigwa marufuku duniani.
Lakini kwanini hadi leo wanaogopa kuingia kwa miguu? Soma kidogo waislam wanavyopigana.
SOMA
Siku ya tarehe kumi na saba ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ina tukio kubwa kwa waislamu wote, ni siku ya kumbukumbu ya vita ya Badri, ambayo ni vita ya kwanza baina ya waislamu na Wakuraishi, pia vita hii ni miongoni mwa vita mashuhuri zaidi iliyo ongozwa na Mtume (s.a.w.w) , ina nafasi kubwa katika historia ya kiislamu ukilinganisha na vita zingine, maswahaba walio shiriki katika vita hii wamepata heshima kubwa na utukufu wapekee kabisa, historia imeelezea ushujaa wao kwa utukufu mkubwa. Baada ya Mtume (s.a.w.w) kufahamu idadi ya wapiganaji wa makuraishi na viongozi wao.
aliwaambia wapiganaji wake walio kua wachache na wenye siraha duni za kivita ukilinganisha na makuraishi, Mtume (s.a.w.w) akasema: (Hawa watu wa Maka wamekujieni na wapiganaji wao hodari). Vita ikaanza, Ali (a.s) akaingia katika uwanja wa mapambano, majeshi mawili yakaanza kupigana kwa mishale na majambia
Mwenyezi Mungu (akatoa amri Malaika wakaingia vitani kuwasaidia waislamu), wailamu wakawashinda washirikina… na ushindi wa waislamu ilikua ni ahadi ya kweli ya Mwenyezi Mungu, waumini wakajaa imani zaidi, wakawauwa washirikina kwa jambia zao, upanga wa Dhulfiqaar uliua nusu ya washirikina wote walio uawa katika vita hiyo.
Makuraishi waliumizwa sana kwa kuuawa kwao lakini wakaficha machungu yao mbele ya Mtume na maswahaba wake…
Lakini kwanini hadi leo wanaogopa kuingia kwa miguu? Soma kidogo waislam wanavyopigana.
SOMA
Siku ya tarehe kumi na saba ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ina tukio kubwa kwa waislamu wote, ni siku ya kumbukumbu ya vita ya Badri, ambayo ni vita ya kwanza baina ya waislamu na Wakuraishi, pia vita hii ni miongoni mwa vita mashuhuri zaidi iliyo ongozwa na Mtume (s.a.w.w) , ina nafasi kubwa katika historia ya kiislamu ukilinganisha na vita zingine, maswahaba walio shiriki katika vita hii wamepata heshima kubwa na utukufu wapekee kabisa, historia imeelezea ushujaa wao kwa utukufu mkubwa. Baada ya Mtume (s.a.w.w) kufahamu idadi ya wapiganaji wa makuraishi na viongozi wao.
aliwaambia wapiganaji wake walio kua wachache na wenye siraha duni za kivita ukilinganisha na makuraishi, Mtume (s.a.w.w) akasema: (Hawa watu wa Maka wamekujieni na wapiganaji wao hodari). Vita ikaanza, Ali (a.s) akaingia katika uwanja wa mapambano, majeshi mawili yakaanza kupigana kwa mishale na majambia
Mwenyezi Mungu (akatoa amri Malaika wakaingia vitani kuwasaidia waislamu), wailamu wakawashinda washirikina… na ushindi wa waislamu ilikua ni ahadi ya kweli ya Mwenyezi Mungu, waumini wakajaa imani zaidi, wakawauwa washirikina kwa jambia zao, upanga wa Dhulfiqaar uliua nusu ya washirikina wote walio uawa katika vita hiyo.
Makuraishi waliumizwa sana kwa kuuawa kwao lakini wakaficha machungu yao mbele ya Mtume na maswahaba wake…