Wakuu taarifa za uhakika ni kwamba tangu wiki iliyopita watu kadhaa wametiwa mbaroni katika idara za serikali na watu binafsi kwa kosa la kusambaza picha inayoonyesha kiwilili cha kike lakini kichwa ikiwa na sura ya Rais kikwete.
Naishangaa serikali inatumia nguvu nyingi sana hapa kwenye mitandao kwa hawa jamaa wa usalama lakini hawawezi kumkamata fisadi Vithlani ama waseme Dowans ni nani hasa!!
Upo Tz kweli ww , mmiliki wa dowans mpaka leo humjui ? na Vithlani ww unajua yuko wapi ? acha kuweka habari za uongo na kupotosha wana JF
Wakuu taarifa za uhakika ni kwamba tangu wiki iliyopita watu kadhaa wametiwa mbaroni katika idara za serikali na watu binafsi kwa kosa la kusambaza picha inayoonyesha kiwilili cha kike lakini kichwa ikiwa na sura ya Rais kikwete.
Naishangaa serikali inatumia nguvu nyingi sana hapa kwenye mitandao kwa hawa jamaa wa usalama lakini hawawezi kumkamata fisadi Vithlani ama waseme Dowans ni nani hasa!!