Picha:Umbumbumbu wa magazeti yetu

Hapa kuna siri kubwa lazima tuwe makini, vyombo vya habari vimeripoti na alieandaka ni waislu wenzenu walioenda shule sio wabinafsi kama wewe. Hii kujificha kwenye mwavuli wa dini mara yanakuja ya watanganyika na wazanzibar hapa kuna mchezo mchafu wa siasa. Wapelekeni viongozi wenu wa dini shule wajue maana ya imani sio kila mtu atafuata matakwa yao kama wanavyotaka.

Hawa watu ni wanafiki wakubwa ukiona hivyo kuna kontena la mchele kutoka omani limeingia. Njaa mbaya sana. Kwanini wasichome hayo mabanda ya waganga wa kienyeji wanakimbilia makanisa, shule na mabar. Hicho kizazi cha sultani hapo zanzibar kitatutesa sana warudishwe kwao omani wanatuaribia Afrika yetu.
 
Vitu mfanye viki ripotiwa na vyombo vya habari ni uchochezi. Mnachoma makanisa utafikiri hayo makanisa au wachungaji ndiyo walio waingiza kwenye muungano. I am sorry to say but serikali ina wadekeza sana Wazanzibari na ubaya wa mtoto mtundu asiechapwa ni kukua toka mtukutu hadi kuwa hatari.
 
Hakuna Shaka kuwa magazeti haya yana agenda ya siri zidi ya Zanzibar na Wananchi wake, hii hii inatokanaa kupandikiza chuki baina ya Wananchii wa Zanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika wanao ishi visiwani humo.
Agenda hii haitosaidia chochote bali itaibua hasira na chuki zidi ya Wazanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika, agenda hii haitoletafaidaa yoyote zaidi ya hasara na kupandikizaa mbegu ya uhasama na chuki miongoni mwa jamii na kuwaondoshea utulivu watu wenye asili ya Tanganyika waishio Zanzibar .
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushadidia shari ,nisawa na kuongeza petrol kwenye moto jee utafaidika nini ?.
Kuhusu matokeo ya machafuko Zanzibar nimapema mno kujuwa ni watu gani waliofanya vitendo hivyo vya uharibifu wa mali za uma likiwemo kanisa maduka vituo vya pombe na magari binafsi.
Tuwashie washunguzi wafanye kazi yao na badae watupe takuwimu zao sio magazeti na vyombo vya habari kupurushuka tu na kutowa habari zisizo na ukweli na kuongeza chumi hii itakuwa hatari katika pande mbili za Muungano na watu wake kwa kujengeana uhasama ,jee yupi atakaye faidikaaa kwa kujengeana uhasama?.
Tusisahau kuwa hii tulionayo ni Tanzania ile ile , kuna agenda nyingi ndani ya mfumo wetu wa maisha , nikigusia kidogo tu , nyuma tulikotoka katika harakati za kisiasa.
Kwa upande wa Zanzibar kumeshazoweleka vitendo vingi vya uvunjaji wa sheria vikiongozwa na makundi wanayo yadengeneza chama tawala ccm ili kupaka matope vyama vengine au watu waliokuwa hawawaungi mkono.
Kumbuka kupigwa risasi 2001 26/27 Wazanzibar, Kundi lilolosemekana lilikuwa likipiga minyororo na kuvamia matuka ya wafuasi wa vyama vengine na kuiba mali zao, kuchomeana moto makaa zi yao kwa utashi wa kisiasa, hizi zote nihistoria hapa kwetu Zanzibar zimetokea na vitimbi vingi tu huko nyuma tutorage?.
Sasa hivi sasa kumeingia mivutanoo Baina ya wananchi wa Zanzibar na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Smz/Suk.
Wameona Serekali yao imeshindwa kuwatekekezea ile dimand yao ya kutaka kura ya maoni kwanza halafu kujadiliwa uhalali wa Muungano kuwepo na kuto kuwepo hayo ni matokeo ya baada ya Wananchi kuamua ama kuwauliza wananchi wa pande zote mbili husika za Muungano au kutumia ibara ya 10 ya Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuitisha kura ya maoni.
Sasa haya yote ya Serekali ya Zanzibar na ile ya Muungano kujifanya kutia pamba za mashikio na kuwapuza wananchi dimand yao matokeo yake ndio hii kuuibuka makundi yakidini , makudi ya kisiasa na makundi ya Serekali kila mtu anavutaana upande wake bila kujulikana chanzo ni nini?.
Tukisema tulaumu Jumuia ya Muamsho tu na kuwabebesha lawama la matokeo haya basi itakuwa hatukwenda mbali katika kufikiri na inaweza kuibua hasira na visasi vya udini , Waiislamu na Wakristo ,Magowa na Wahindu, Mabuda na wengineo .
Hii italipeleka taifa pabaya na itakuwa vita hivi nitabu kuvizima vile vya Uganda tulivyopigana Tanzania na vikatushukuwa miaka mingi na kupoteza wengi na Tanzania kuto kujirudi hali Kiiuchumi mpaka leo vitakuwa ni afazali kulikonii vita vya Udini na civil war.
Tulipigana na Uganda na tuliwajuwa waganda ni watu gani na nitaifa gani ? Lakini jee kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa njia ya udini, Utanganyika na Uzanzibar rizalty zake zitakuwa vipi na yupi atakuwa winer na kujisifia ushindi wake? Mzanzibar au Mtanganyika? Hii itakuwa ni hatari na asari yake itakuja katika jamiina na kufanya ndugu wawiki wa Tanganyika na Wazanzibar kujengeana visasi vya maisha .
Kwa hio nilazima media zetu ziwe natahazari sana na wanacho kiandika na kukisoma wananchi wa Tanzania , kinaweza kuligawa taifa katika misingi miwili Utanganyika na Uzanzibar Udini na Ukabila.
Mungu ibariki Zanzibar na umbilici Tanzania yote .
Ni kweli ilikuwa unataka Mungu aibariki Tanzania yote au zanzibar tu?maana hata hiyo neno umbilici sijui lina maana gani?.matukio mmeyafanya baada ya viongozi wenu kukamatwa mmechoma matairi moto makanisa,bar,na wote waliokamatwa na uamsho na bado mnaendelea na vikao kwa kifupi hampendi wakristo.kwa kilichotokea kusema tuache unguchuzi ufanyike ni sawa kumkuta mtu yuko ndani na mkeo wote wako uchi na kusema ngoja tufanye uchunguzi kama wali sex
 
ama kweli kuna jamaa katoroka mirembe hivi karibuni..msameheni wadau..huyu katoka mirembe leo asubuhi..
 
Heri ukose vyote isipokuwa akili. Kipi kinaongeza hasira? Kulipoti kilichofanywa au kuchoma makanisa, mali,nk.? Hv hamkuwa na njia mbadala ya kuwasilisha kero zenu? Kemea anayembagua mwanadamu mwenzie kwa mwavuli wa dini, kabila, rangi nk. Umeandika matapishi tu hapa. Badala ya kuongelea tatizo-unakimbilia ku-attack media. Vitendo hv havivumiliki hata kidogo. Fahamu pia faida za kuripot huu upuuzi unaoendelea zanzibar. Jamii ya kitanzania inahitaji kupashwa habari ya maeneo mbalimbali ili iweze kufanya maamuzi sahihi wakati wote. Mfano:kujipanga kibiashara,utalii,na shughuli nyingine za kijamii. Sikukusikia ukikemea mauaji ya arusha,mbeya,tandahimba nk. Haya yote yalilipotiwa na media...kwanini iwe zanzibar? Mnafiki mkubwa wewe.
 
kama jirani yako ni mzenj, mburundi,msomali huwezi kumfanya chochote achane porojo ss tukiamua ndio tunaweza tukawahamisha hapo ulipo
 
Kwa hiyo tatizo sasa siyo Muungano ila magazeti ya Tanzania Daima na Nipashe!
 
Mtoa mada hafai kabisa. mimi nilikuwepo eneo la tukio, wana kikundi cha UAMSHO ndiyo waliyo shambulia makanisa. Nafsi yako inakusuta kwa mlicho kifanya. Kwa nini msidai haki zenu serekalini? wenzenu wa misri malienda kwenye maeneo mahamlum kama vile TAHARIL skwea. acheni ujinga. Hivi dini yenu haifundishi upendo? Mungu awasamee
 
Hakuna Shaka kuwa magazeti haya yana agenda ya siri zidi ya Zanzibar na Wananchi wake, hii hii inatokanaa kupandikiza chuki baina ya Wananchii wa Zanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika wanao ishi visiwani humo.
Agenda hii haitosaidia chochote bali itaibua hasira na chuki zidi ya Wazanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika, agenda hii haitoletafaidaa yoyote zaidi ya hasara na kupandikizaa mbegu ya uhasama na chuki miongoni mwa jamii na kuwaondoshea utulivu watu wenye asili ya Tanganyika waishio Zanzibar .
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushadidia shari ,nisawa na kuongeza petrol kwenye moto jee utafaidika nini ?.
Kuhusu matokeo ya machafuko Zanzibar nimapema mno kujuwa ni watu gani waliofanya vitendo hivyo vya uharibifu wa mali za uma likiwemo kanisa maduka vituo vya pombe na magari binafsi.
Tuwashie washunguzi wafanye kazi yao na badae watupe takuwimu zao sio magazeti na vyombo vya habari kupurushuka tu na kutowa habari zisizo na ukweli na kuongeza chumi hii itakuwa hatari katika pande mbili za Muungano na watu wake kwa kujengeana uhasama ,jee yupi atakaye faidikaaa kwa kujengeana uhasama?.
Tusisahau kuwa hii tulionayo ni Tanzania ile ile , kuna agenda nyingi ndani ya mfumo wetu wa maisha , nikigusia kidogo tu , nyuma tulikotoka katika harakati za kisiasa.
Kwa upande wa Zanzibar kumeshazoweleka vitendo vingi vya uvunjaji wa sheria vikiongozwa na makundi wanayo yadengeneza chama tawala ccm ili kupaka matope vyama vengine au watu waliokuwa hawawaungi mkono.
Kumbuka kupigwa risasi 2001 26/27 Wazanzibar, Kundi lilolosemekana lilikuwa likipiga minyororo na kuvamia matuka ya wafuasi wa vyama vengine na kuiba mali zao, kuchomeana moto makaa zi yao kwa utashi wa kisiasa, hizi zote nihistoria hapa kwetu Zanzibar zimetokea na vitimbi vingi tu huko nyuma tutorage?.
Sasa hivi sasa kumeingia mivutanoo Baina ya wananchi wa Zanzibar na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Smz/Suk.
Wameona Serekali yao imeshindwa kuwatekekezea ile dimand yao ya kutaka kura ya maoni kwanza halafu kujadiliwa uhalali wa Muungano kuwepo na kuto kuwepo hayo ni matokeo ya baada ya Wananchi kuamua ama kuwauliza wananchi wa pande zote mbili husika za Muungano au kutumia ibara ya 10 ya Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuitisha kura ya maoni.
Sasa haya yote ya Serekali ya Zanzibar na ile ya Muungano kujifanya kutia pamba za mashikio na kuwapuza wananchi dimand yao matokeo yake ndio hii kuuibuka makundi yakidini , makudi ya kisiasa na makundi ya Serekali kila mtu anavutaana upande wake bila kujulikana chanzo ni nini?.
Tukisema tulaumu Jumuia ya Muamsho tu na kuwabebesha lawama la matokeo haya basi itakuwa hatukwenda mbali katika kufikiri na inaweza kuibua hasira na visasi vya udini , Waiislamu na Wakristo ,Magowa na Wahindu, Mabuda na wengineo .
Hii italipeleka taifa pabaya na itakuwa vita hivi nitabu kuvizima vile vya Uganda tulivyopigana Tanzania na vikatushukuwa miaka mingi na kupoteza wengi na Tanzania kuto kujirudi hali Kiiuchumi mpaka leo vitakuwa ni afazali kulikonii vita vya Udini na civil war.
Tulipigana na Uganda na tuliwajuwa waganda ni watu gani na nitaifa gani ? Lakini jee kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa njia ya udini, Utanganyika na Uzanzibar rizalty zake zitakuwa vipi na yupi atakuwa winer na kujisifia ushindi wake? Mzanzibar au Mtanganyika? Hii itakuwa ni hatari na asari yake itakuja katika jamiina na kufanya ndugu wawiki wa Tanganyika na Wazanzibar kujengeana visasi vya maisha .
Kwa hio nilazima media zetu ziwe natahazari sana na wanacho kiandika na kukisoma wananchi wa Tanzania , kinaweza kuligawa taifa katika misingi miwili Utanganyika na Uzanzibar Udini na Ukabila.
Mungu ibariki Zanzibar na umbilici Tanzania yote .
Ndugu yangu, mmeyachokoza wenywewe, wala msianze kumtafuta mchawi kuwa kuna mtu anawachochea wabara. Kwani ni nini kiliwachochea wazanzibari na kuanzisha vurugu hizo za kijinga?
kama unayalaumu magazeti kuwa hayawatendei haki, kuna uhakika gani kuwa hata hiyo ripoti y wachunguzi mtakubaliana nayo?
nawaombeni rudieni akili zenu kabla mambo hayajawa mabaya, maana inaonekana mmeziacha sehemu fulani
 
Unategemea nini kutoka kwa MEDIA za CHADEMA zinazomilikiwa na WACHAGGA?
 
Hivi sasa ni media wao ndio wenye kupotosha habari kukuza kwa kuandika na kuongeza chumvi na hali kuwa mbaya kwa kuonyesha baadhi ya picha za Matokeo ya uchaguzi na fujo zilizokuwa zikifanyika katika chaguzi za nyuma za Zanzibar.

Hii hii nikuvuja na sio kujenga amani na mshikamano ,nikuleta chuki baina ya watu wa pande mbili za Muungano.

Media haiwezi kujenga chuki zaidi ya matusi yaliyokuwa yakivurumushwa kwenye mihadhara ya uamsho. Kama busara ingetumika huko nyuma, uamsho wange-focus kwenye hoja za msingi kuhusu kero za muungano badala ya kuruhusu mikutano yake itumiwe na watoa matusi. Sasa hivi ni vigumu sana kwa UAMSHO kujitenga na vurugu zilizotokea.
 
Angalau utuandikie kitu kinachofanana na uhalisia, huna hoja ya msingi uliyotuwekea tukaielewa, na uchomaji makanisa unahusikaje na harakati zenu za kudai haki? Mbona msikiti haujaripotiwa kuchomwa> Acheni ubaguzi wa kidini na hiyo dhambi ya kuvunja muungano itakuja watafuna hata wenyewe uunguja na upemba kama tunishi tutashuhudia tu.
 
Hapa kuna siri kubwa lazima tuwe makini, vyombo vya habari vimeripoti na alieandaka ni waislu wenzenu walioenda shule sio wabinafsi kama wewe. Hii kujificha kwenye mwavuli wa dini mara yanakuja ya watanganyika na wazanzibar hapa kuna mchezo mchafu wa siasa. Wapelekeni viongozi wenu wa dini shule wajue maana ya imani sio kila mtu atafuata matakwa yao kama wanavyotaka.

Hawa watu ni wanafiki wakubwa ukiona hivyo kuna kontena la mchele kutoka omani limeingia. Njaa mbaya sana. Kwanini wasichome hayo mabanda ya waganga wa kienyeji wanakimbilia makanisa, shule na mabar. Hicho kizazi cha sultani hapo zanzibar kitatutesa sana warudishwe kwao omani wanatuaribia Afrika yetu.

Hii ni hatari hawawataki wenye asili ya tanganyika kuishi zenji ila wenye asili ya uarabu sawa.
Kumbe waarabu walifanikiwa sana zenji
 
...Wz'bar Walani Gazeti ippmedia na Tanzania Daima kwa kupotosha ukweli na kupandikiza chuki Wzbar.
Nimeisoma habari yako yote lakini sijaona mahali popote ambapo kuna tamko la Wazanzibari au wawakilishi wao wa makundi fulani wakisema wanalaani media za IPP na Tanzania Daima

...Tuwashie washunguzi wafanye kazi yao na badae watupe takuwimu zao sio magazeti na vyombo vya habari kupurushuka tu na kutowa habari zisizo na ukweli na kuongeza chumi hii itakuwa hatari katika pande mbili za Muungano na watu wake kwa kujengeana uhasama ,.. .
Umeanza vizuri kwamba tuwaachie wachunguzi waje na takwimu, lakini ulipomalizia ndio panatia mashaka; je, kama hauna habari za wachunguzi, umejuaje kuwa hizo zilizotolewa na media hazina ukweli? Naomba unijibu

 
nyie wazenji acheni mambo ya kisenge,nani aliwaambieni kutubagua sie ndo mtaishi kwa prosperity..angalieni Lebanon..si kuna waislamu enhe...Druze,Shia,Sunni ...and the ****ed up Hizbollah..mbona wenyewe hawaelewani....shauri yenu..acheni sie tutangaze upako wa kiAssemblies na nguruwe tule..if you have serious matters lets square them on athe table unless otherweise tutakafanya kazennji kamkoa ketu till eternity...huku tukileta vijana wa kikurya waonengeze mbegu za marijali huko wete....
Fools die...

Hahaha, kazi kweli kweli...
 
Hivi sasa ni media wao ndio wenye kupotosha habari kukuza kwa kuandika na kuongeza chumvi na hali kuwa mbaya kwa kuonyesha baadhi ya picha za Matokeo ya uchaguzi na fujo zilizokuwa zikifanyika katika chaguzi za nyuma za Zanzibar.

Hii hii nikuvuja na sio kujenga amani na mshikamano ,nikuleta chuki baina ya watu wa pande mbili za Muungano.

na wana uamsho unawaambia nini maana nashangaa umekomalia tu waandishi wa habari,unategemea sie tuliopo huku bara tutapataje habari za ndugu zetu?hata mkibaki waislamu peke yenu mtatengana tu,dhambi ya kubaguana haiishi
 
Hata hivyo hii si mara ya kwanza vurugu kama hizi kutokea, mara kuchoma baa, mara kuchoma makanisa, anyway imeshakua tabia tu ya kuzoeleka lakini ni tabia isiyoyakiungwana hata kidogo. Zanzibar kujenga msikiti bara ruksa lakini sio kanisa kujengwa zanzibar, is it not so?. Religion tolerance ipo chini sana zanzibar na acceptance ya difference is completely unacceptable. Kulalamikia magazeti haina maana yeyote, wanaofanya hayo ni hao hao. Unazungumzia uchunguzi, kwani makanisa na baa zilipochomwa hivi karibuni, hivi ule uchunguzi walisema nini tena?
 
Kiukweli inatia hasira ya masikitiko sana.....ukiangalia magazeti ya leo mengi utaona picha baadhi ambazo sizo za matukio ya majuzi zanzibar.....ni picha nyingine kabisa ila wamejivika ujinga na kuudanganya umma....
SAM_2045.JPG



SAM_2052.JPG


SAM_2046.JPG


SAM_2047.JPG


SAM_2048.JPG


Picha hii ni ya tukio la Maandamano ya Wanafunzi Waislam yaliyofanyika Morogoro mwezi Januari na SIYO ya matukio ya Zanzibar yaliyofanyika siku za mwishoni mwa wiki ya Mei 26 - 27...........Friday, January 20, 2012

MUUMINI WA DINI YA KIISLAM AKIONYESHA KITAMBAA KILICHOTAPAKAA DAMU


DAMU%2BIMEMWAGIKA%2BMAANDAMANO%2BYA%2BUMOJA%2BWA%2BWANAFUNZI%2BWA%2BKIISLAM%2BMANISPAA%2BYA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B5.jpg

DAMU IMEMWAGIKA,DAMU IMEMWAGIKA, DAMU IMEMWAGIKA NDIVYO ANAVYOELEKEA KUSEMA MUUMINI HUYU BAADA YA ASKARI KUWAJERUHI WAANDAMANAJI WA DINI YA KIISLAM WAKATI WAKIELEKEA OFISI YA AFISA ELIMU MKOA WA MOROGORO.
JUMA MTANDA: MUUMINI WA DINI YA KIISLAM AKIONYESHA KITAMBAA KILICHOTAPAKAA DAMU

Hii hi khatari kwa kuwa magazeti yanafikiwa na watu wengi inaweza kulata hisia mbaya kwa watu......

Gazeti limeandikwa ukweli sasa shida iko wapi? Nini maana ya habari? Mambo ya single party, socialism na commonism hakuna tena Bongo; hapa ukweli ukweli tu; kuchuja ni kufilisika ki-habari.
 
Inaonekana waandishi na wahariri sio watu wa kutafiti....hawajui wao ni silaha nzito sana...sasa imagine hiyo picha leo imepamba magazeti eti ni ya vurugu za zanzibar wakati hiyo ilikuwa jan 2012 kule morogoro.........

Wahariri siyo kama hawakujua bali wanalijua hili ila wanataka kutengeneza pesa kwa heading za kushtusha au kuvutia mambo tuliyoyazoea kwa magazeti ya udaku. Lakini pia haya mambo ni vizuri yaangaliwe kwa uzuri....UAMUSHO wanakoelekea siyo kuzuri. Wakumbuke Tanzania ni moja haina mipaka makanisa na misikiti ipo Tanzania yote, waislamu na wakristo wapo Tanzania yote na zaidi ya hayo WAPEMBA na WASUKUMA wapo Tanzania yote. Kama muungano haufai tutajadili kwa amani na kama utakufa ufe kwa amani siyo kushangilia ujinga wa aina hii unaoletwa na wana uamsho.
 
Back
Top Bottom