Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Kiukweli inatia hasira ya masikitiko sana.....ukiangalia magazeti ya leo mengi utaona picha baadhi ambazo sizo za matukio ya majuzi zanzibar.....ni picha nyingine kabisa ila wamejivika ujinga na kuudanganya umma....
Picha hii ni ya tukio la Maandamano ya Wanafunzi Waislam yaliyofanyika Morogoro mwezi Januari na SIYO ya matukio ya Zanzibar yaliyofanyika siku za mwishoni mwa wiki ya Mei 26 - 27...........Friday, January 20, 2012
MUUMINI WA DINI YA KIISLAM AKIONYESHA KITAMBAA KILICHOTAPAKAA DAMU
DAMU IMEMWAGIKA,DAMU IMEMWAGIKA, DAMU IMEMWAGIKA NDIVYO ANAVYOELEKEA KUSEMA MUUMINI HUYU BAADA YA ASKARI KUWAJERUHI WAANDAMANAJI WA DINI YA KIISLAM WAKATI WAKIELEKEA OFISI YA AFISA ELIMU MKOA WA MOROGORO.
JUMA MTANDA: MUUMINI WA DINI YA KIISLAM AKIONYESHA KITAMBAA KILICHOTAPAKAA DAMU
Hii hi khatari kwa kuwa magazeti yanafikiwa na watu wengi inaweza kulata hisia mbaya kwa watu......
Picha hii ni ya tukio la Maandamano ya Wanafunzi Waislam yaliyofanyika Morogoro mwezi Januari na SIYO ya matukio ya Zanzibar yaliyofanyika siku za mwishoni mwa wiki ya Mei 26 - 27...........Friday, January 20, 2012
MUUMINI WA DINI YA KIISLAM AKIONYESHA KITAMBAA KILICHOTAPAKAA DAMU
DAMU IMEMWAGIKA,DAMU IMEMWAGIKA, DAMU IMEMWAGIKA NDIVYO ANAVYOELEKEA KUSEMA MUUMINI HUYU BAADA YA ASKARI KUWAJERUHI WAANDAMANAJI WA DINI YA KIISLAM WAKATI WAKIELEKEA OFISI YA AFISA ELIMU MKOA WA MOROGORO.
JUMA MTANDA: MUUMINI WA DINI YA KIISLAM AKIONYESHA KITAMBAA KILICHOTAPAKAA DAMU
Hii hi khatari kwa kuwa magazeti yanafikiwa na watu wengi inaweza kulata hisia mbaya kwa watu......