Picha:Umbumbumbu wa magazeti yetu

Hizi ni faida na hasara za kutegemea mitandao badala ya kuwa au kutafuta watu waliopo katika tukio, ni rahisi sana na wanaokoa gharama kubwa wanapochukua picha toka mtandaoni kuliko kutuma mtu ama kutafuta mtu aliye eneo la tukio, hii ni download and paste on paper itajatugharimu sana siku moja.

Mungu ibariki Tanzania.
alafu hawa waandishi walivyo mabwegge huwa wakishaona picha michuzi au JF pale pale wanaichukua na kuibandika kwenye page za mbele.......

Hivi tz daima si gazeti na chadema????
 
Huna ulichoandika hapa, tabia hii ya kutubagua sisi wa Tanganyika ni ya siku nyingi! Tabia yenu ni mbaya sana. Hivi mnapofika mpaka mkachoma kanisa! Je yasiandikwe?. Wa Tanganyika tuna akili siyo watoto, hivi sisi tukiwabagua hivyo mtaishi bara kweli. Nendeni shule musome acheni kulalamika.
 
Hakuna Shaka kuwa magazeti haya yana agenda ya siri zidi ya Zanzibar na Wananchi wake, hii hii inatokanaa kupandikiza chuki baina ya Wananchii wa Zanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika wanao ishi visiwani humo.
Agenda hii haitosaidia chochote bali itaibua hasira na chuki zidi ya Wazanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika, agenda hii haitoletafaidaa yoyote zaidi ya hasara na kupandikizaa mbegu ya uhasama na chuki miongoni mwa jamii na kuwaondoshea utulivu watu wenye asili ya Tanganyika waishio Zanzibar .
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushadidia shari ,nisawa na kuongeza petrol kwenye moto jee utafaidika nini ?.
Kuhusu matokeo ya machafuko Zanzibar nimapema mno kujuwa ni watu gani waliofanya vitendo hivyo vya uharibifu wa mali za uma likiwemo kanisa maduka vituo vya pombe na magari binafsi.
Tuwashie washunguzi wafanye kazi yao na badae watupe takuwimu zao sio magazeti na vyombo vya habari kupurushuka tu na kutowa habari zisizo na ukweli na kuongeza chumi hii itakuwa hatari katika pande mbili za Muungano na watu wake kwa kujengeana uhasama ,jee yupi atakaye faidikaaa kwa kujengeana uhasama?.
Tusisahau kuwa hii tulionayo ni Tanzania ile ile , kuna agenda nyingi ndani ya mfumo wetu wa maisha , nikigusia kidogo tu , nyuma tulikotoka katika harakati za kisiasa.
Kwa upande wa Zanzibar kumeshazoweleka vitendo vingi vya uvunjaji wa sheria vikiongozwa na makundi wanayo yadengeneza chama tawala ccm ili kupaka matope vyama vengine au watu waliokuwa hawawaungi mkono.
Kumbuka kupigwa risasi 2001 26/27 Wazanzibar, Kundi lilolosemekana lilikuwa likipiga minyororo na kuvamia matuka ya wafuasi wa vyama vengine na kuiba mali zao, kuchomeana moto makaa zi yao kwa utashi wa kisiasa, hizi zote nihistoria hapa kwetu Zanzibar zimetokea na vitimbi vingi tu huko nyuma tutorage?.
Sasa hivi sasa kumeingia mivutanoo Baina ya wananchi wa Zanzibar na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Smz/Suk.
Wameona Serekali yao imeshindwa kuwatekekezea ile dimand yao ya kutaka kura ya maoni kwanza halafu kujadiliwa uhalali wa Muungano kuwepo na kuto kuwepo hayo ni matokeo ya baada ya Wananchi kuamua ama kuwauliza wananchi wa pande zote mbili husika za Muungano au kutumia ibara ya 10 ya Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuitisha kura ya maoni.
Sasa haya yote ya Serekali ya Zanzibar na ile ya Muungano kujifanya kutia pamba za mashikio na kuwapuza wananchi dimand yao matokeo yake ndio hii kuuibuka makundi yakidini , makudi ya kisiasa na makundi ya Serekali kila mtu anavutaana upande wake bila kujulikana chanzo ni nini?.
Tukisema tulaumu Jumuia ya Muamsho tu na kuwabebesha lawama la matokeo haya basi itakuwa hatukwenda mbali katika kufikiri na inaweza kuibua hasira na visasi vya udini , Waiislamu na Wakristo ,Magowa na Wahindu, Mabuda na wengineo .
Hii italipeleka taifa pabaya na itakuwa vita hivi nitabu kuvizima vile vya Uganda tulivyopigana Tanzania na vikatushukuwa miaka mingi na kupoteza wengi na Tanzania kuto kujirudi hali Kiiuchumi mpaka leo vitakuwa ni afazali kulikonii vita vya Udini na civil war.
Tulipigana na Uganda na tuliwajuwa waganda ni watu gani na nitaifa gani ? Lakini jee kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa njia ya udini, Utanganyika na Uzanzibar rizalty zake zitakuwa vipi na yupi atakuwa winer na kujisifia ushindi wake? Mzanzibar au Mtanganyika? Hii itakuwa ni hatari na asari yake itakuja katika jamiina na kufanya ndugu wawiki wa Tanganyika na Wazanzibar kujengeana visasi vya maisha .
Kwa hio nilazima media zetu ziwe natahazari sana na wanacho kiandika na kukisoma wananchi wa Tanzania , kinaweza kuligawa taifa katika misingi miwili Utanganyika na Uzanzibar Udini na Ukabila.
Mungu ibariki Zanzibar na umbilici Tanzania yote .


Kama ni uongo kwanini yachomwe makanisa? Mbona hakuna Msikiti hata mmoja uliochomwa? au hasira zao ziliona makanisa tu sio Misikiti?

Mambo ya kutaka mjadala kuhusu Muungano yanaingilianaje na Kanisa kuchomwa. Nadhani kuna ukweli kuhusu kilichoandikwa.
 
wewe nawe akili kama william malecela......unajua umeandika nini bongolala wewe? yaani wabongo bana???

kama mwandishi basi wewe hamnazo kabisa.....hiyo picha sio ya tukio lile bwegge wewe.....na mhariri wako bwegge vile vile....fanyeni utafiti mabwegge nyie......watu mtaani sasa hivi wajua hiyo picha ni ya vurugu za zanzibar wakati sio mabwegge nyie......
Duuh... hii imenikumbusha kule Arumeru wakati wa kampeni....
 
like or not, media or not, propaganda or not UKWELI unabakia kuwa kilichofanyika zanzibar under umbrella ya UAMSHO inajenga ufa kubwa ya UBAGUZI na DINI! Hakukuwepo na sababu yeyote ya kuchoma makanisa or else wangechoma na misikiti pia. This is religious fundamentalism and muungano question is just a disguise. The question is who behind or financing this? Je nchi yetu iko salama?
 
Hakuna Shaka kuwa magazeti haya yana agenda ya siri zidi ya Zanzibar na Wananchi wake, hii hii inatokanaa kupandikiza chuki baina ya Wananchii wa Zanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika wanao ishi visiwani humo.
Agenda hii haitosaidia chochote bali itaibua hasira na chuki zidi ya Wazanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika, agenda hii haitoletafaidaa yoyote zaidi ya hasara na kupandikizaa mbegu ya uhasama na chuki miongoni mwa jamii na kuwaondoshea utulivu watu wenye asili ya Tanganyika waishio Zanzibar .
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushadidia shari ,nisawa na kuongeza petrol kwenye moto jee utafaidika nini ?.
Kuhusu matokeo ya machafuko Zanzibar nimapema mno kujuwa ni watu gani waliofanya vitendo hivyo vya uharibifu wa mali za uma likiwemo kanisa maduka vituo vya pombe na magari binafsi.
Tuwashie washunguzi wafanye kazi yao na badae watupe takuwimu zao sio magazeti na vyombo vya habari kupurushuka tu na kutowa habari zisizo na ukweli na kuongeza chumi hii itakuwa hatari katika pande mbili za Muungano na watu wake kwa kujengeana uhasama ,jee yupi atakaye faidikaaa kwa kujengeana uhasama?.
Tusisahau kuwa hii tulionayo ni Tanzania ile ile , kuna agenda nyingi ndani ya mfumo wetu wa maisha , nikigusia kidogo tu , nyuma tulikotoka katika harakati za kisiasa.
Kwa upande wa Zanzibar kumeshazoweleka vitendo vingi vya uvunjaji wa sheria vikiongozwa na makundi wanayo yadengeneza chama tawala ccm ili kupaka matope vyama vengine au watu waliokuwa hawawaungi mkono.
Kumbuka kupigwa risasi 2001 26/27 Wazanzibar, Kundi lilolosemekana lilikuwa likipiga minyororo na kuvamia matuka ya wafuasi wa vyama vengine na kuiba mali zao, kuchomeana moto makaa zi yao kwa utashi wa kisiasa, hizi zote nihistoria hapa kwetu Zanzibar zimetokea na vitimbi vingi tu huko nyuma tutorage?.
Sasa hivi sasa kumeingia mivutanoo Baina ya wananchi wa Zanzibar na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Smz/Suk.
Wameona Serekali yao imeshindwa kuwatekekezea ile dimand yao ya kutaka kura ya maoni kwanza halafu kujadiliwa uhalali wa Muungano kuwepo na kuto kuwepo hayo ni matokeo ya baada ya Wananchi kuamua ama kuwauliza wananchi wa pande zote mbili husika za Muungano au kutumia ibara ya 10 ya Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuitisha kura ya maoni.
Sasa haya yote ya Serekali ya Zanzibar na ile ya Muungano kujifanya kutia pamba za mashikio na kuwapuza wananchi dimand yao matokeo yake ndio hii kuuibuka makundi yakidini , makudi ya kisiasa na makundi ya Serekali kila mtu anavutaana upande wake bila kujulikana chanzo ni nini?.
Tukisema tulaumu Jumuia ya Muamsho tu na kuwabebesha lawama la matokeo haya basi itakuwa hatukwenda mbali katika kufikiri na inaweza kuibua hasira na visasi vya udini , Waiislamu na Wakristo ,Magowa na Wahindu, Mabuda na wengineo .
Hii italipeleka taifa pabaya na itakuwa vita hivi nitabu kuvizima vile vya Uganda tulivyopigana Tanzania na vikatushukuwa miaka mingi na kupoteza wengi na Tanzania kuto kujirudi hali Kiiuchumi mpaka leo vitakuwa ni afazali kulikonii vita vya Udini na civil war.
Tulipigana na Uganda na tuliwajuwa waganda ni watu gani na nitaifa gani ? Lakini jee kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa njia ya udini, Utanganyika na Uzanzibar rizalty zake zitakuwa vipi na yupi atakuwa winer na kujisifia ushindi wake? Mzanzibar au Mtanganyika? Hii itakuwa ni hatari na asari yake itakuja katika jamiina na kufanya ndugu wawiki wa Tanganyika na Wazanzibar kujengeana visasi vya maisha .
Kwa hio nilazima media zetu ziwe natahazari sana na wanacho kiandika na kukisoma wananchi wa Tanzania , kinaweza kuligawa taifa katika misingi miwili Utanganyika na Uzanzibar Udini na Ukabila.
Mungu ibariki Zanzibar na umbilici Tanzania yote .

Yakhe zogo hili mmelianza nyie, tena huko huko Zenji na si Darisalama!

Nyie mmeanza na sisi tutamalizia.
Sehemu za bar na makanisa havikuanza kuchmwa leo , wewe ni mnafiki sana Abdusahaf-kama walivyo wengine kule unakotoka.
Hebu tujulishe posti yako iliyolaani matukio hayo ili tuone kama si mnafiki.
Nyie mnachokoza watu walio na kawaida ya kulala, wakiamka sijui mtakimbilia wapi, na huku jirani yangu tu ni Mzenji-namfikiria mara mbili mbili.
 
Nilifikiri sote ni watanzania ama?? kumbe kuna wenye asili ya zanzibar na asili ya tanganyika...daahh....si mchezo
 
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/270076-picha-umbumbumbu-wa-magazeti-yetu.html
MADAMANO MAKUBWA BARA YA WAUMINI WA KISLAMU KUPINGA UPOTOSHAJI WA MAGAZETI.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/270076-picha-umbumbumbu-wa-magazeti-yetu.html
Hakuna Shaka kuwa magazeti haya yana agenda ya siri zidi ya Zanzibar na Wananchi wake, hii hii inatokanaa kupandikiza chuki baina ya Wananchii wa Zanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika wanao ishi visiwani humo.
Agenda hii haitosaidia chochote bali itaibua hasira na chuki zidi ya Wazanzibar na watu wenye asili ya Tanganyika, agenda hii haitoletafaidaa yoyote zaidi ya hasara na kupandikizaa mbegu ya uhasama na chuki miongoni mwa jamii na kuwaondoshea utulivu watu wenye asili ya Tanganyika waishio Zanzibar .
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushadidia shari ,nisawa na kuongeza petrol kwenye moto jee utafaidika nini ?.
Kuhusu matokeo ya machafuko Zanzibar nimapema mno kujuwa ni watu gani waliofanya vitendo hivyo vya uharibifu wa mali za uma likiwemo kanisa maduka vituo vya pombe na magari binafsi.
Tuwashie washunguzi wafanye kazi yao na badae watupe takuwimu zao sio magazeti na vyombo vya habari kupurushuka tu na kutowa habari zisizo na ukweli na kuongeza chumi hii itakuwa hatari katika pande mbili za Muungano na watu wake kwa kujengeana uhasama ,jee yupi atakaye faidikaaa kwa kujengeana uhasama?.
Tusisahau kuwa hii tulionayo ni Tanzania ile ile , kuna agenda nyingi ndani ya mfumo wetu wa maisha , nikigusia kidogo tu , nyuma tulikotoka katika harakati za kisiasa.
Kwa upande wa Zanzibar kumeshazoweleka vitendo vingi vya uvunjaji wa sheria vikiongozwa na makundi wanayo yadengeneza chama tawala ccm ili kupaka matope vyama vengine au watu waliokuwa hawawaungi mkono.
Kumbuka kupigwa risasi 2001 26/27 Wazanzibar, Kundi lilolosemekana lilikuwa likipiga minyororo na kuvamia matuka ya wafuasi wa vyama vengine na kuiba mali zao, kuchomeana moto makaa zi yao kwa utashi wa kisiasa, hizi zote nihistoria hapa kwetu Zanzibar zimetokea na vitimbi vingi tu huko nyuma tutorage?.
Sasa hivi sasa kumeingia mivutanoo Baina ya wananchi wa Zanzibar na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Smz/Suk.
Wameona Serekali yao imeshindwa kuwatekekezea ile dimand yao ya kutaka kura ya maoni kwanza halafu kujadiliwa uhalali wa Muungano kuwepo na kuto kuwepo hayo ni matokeo ya baada ya Wananchi kuamua ama kuwauliza wananchi wa pande zote mbili husika za Muungano au kutumia ibara ya 10 ya Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuitisha kura ya maoni.
Sasa haya yote ya Serekali ya Zanzibar na ile ya Muungano kujifanya kutia pamba za mashikio na kuwapuza wananchi dimand yao matokeo yake ndio hii kuuibuka makundi yakidini , makudi ya kisiasa na makundi ya Serekali kila mtu anavutaana upande wake bila kujulikana chanzo ni nini?.
Tukisema tulaumu Jumuia ya Muamsho tu na kuwabebesha lawama la matokeo haya basi itakuwa hatukwenda mbali katika kufikiri na inaweza kuibua hasira na visasi vya udini , Waiislamu na Wakristo ,Magowa na Wahindu, Mabuda na wengineo .
Hii italipeleka taifa pabaya na itakuwa vita hivi nitabu kuvizima vile vya Uganda tulivyopigana Tanzania na vikatushukuwa miaka mingi na kupoteza wengi na Tanzania kuto kujirudi hali Kiiuchumi mpaka leo vitakuwa ni afazali kulikonii vita vya Udini na civil war.
Tulipigana na Uganda na tuliwajuwa waganda ni watu gani na nitaifa gani ? Lakini jee kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa njia ya udini, Utanganyika na Uzanzibar rizalty zake zitakuwa vipi na yupi atakuwa winer na kujisifia ushindi wake? Mzanzibar au Mtanganyika? Hii itakuwa ni hatari na asari yake itakuja katika jamiina na kufanya ndugu wawiki wa Tanganyika na Wazanzibar kujengeana visasi vya maisha .
Kwa hio nilazima media zetu ziwe natahazari sana na wanacho kiandika na kukisoma wananchi wa Tanzania , kinaweza kuligawa taifa katika misingi miwili Utanganyika na Uzanzibar Udini na Ukabila.

Mungu ibariki Zanzibar na umbilici Tanzania yote .
 
Who care,kwanza kuna mijitu humu inajifanya iko high class,dharau kujifanya misomi.LAZIMA KITAWAKA TU just a matter of time.
 
Kwa hiyo lawama zako kwenye media ni kwa nini wameandika na kuchapisha picha za makanisa yalioungua moto..? Na kauli zinazotolewa kwamba watanganyika waondoke Zanzibar..? Hicho kilichoandikwa ndicho unacholaani wewe..? Ulitaka wakae kimya na kutoandika habari hizo..! Hii dhambi itawarudia.. Hilo lazima mulielewe..
 
hii ni hatari wanalani vyombo vya habari kuandika ukweli. ama kweli hamnazo badala ya kutatua tatizo mnaanza kulani.
 
kaka acha propoganda, huo ni unyanyasaji wa kibaguzi kwa misingi ya dini.

Achen kunyanyasa watu waco na hatia
 
Mtoa mada mbona anakwepa ukweli uliopo wa Wazanzibar kutaka kuwatimua Watanganyika. Anausemeaje mswada ulopelekwa kwenye baraza la wawakirishi kuwataka Watanganyika wasipewe kazi na watimuliwe ila ulishindwa kwa tofauti ya kura mbili tu. Je hapo anasemaje kama haya si mwendelezo wa yaliyotokea mjengoni Zenj?
 
Back
Top Bottom