kuhusu kuhudhuria au kutohudhuria hao wengine! haihusu... inahusu kwamba mahudhurio yalikuwa ya kuridhisha na again CCM DMV improve haters they were wrong again .. watafute jingine la kuongea ..
Haters! tushawazoea ninyi! ... mmejawa na roho ya kwanini toka CDM walipokwenda UK na kupata watu 7 .. huston pale kuna watanzania wengi lakini mbowe hata watu 30 hakufikisha ...
katika hii picha sera gani tena hapa ccm wanaleta?? kwenye kiti kina mama wanafanya nini tena!
Katika hii picha sera gani tena hapa CCM wanaleta?? kwenye kiti kina mama wanafanya nini tena!
Upuuzi mtupu hakuna faida ya kufungua matawi Ulaya na Marekani wakati Tanzania bado kuna watu wengi hawana ufahamu wa kujua haki zao za kidemokrasia mngeanza na hawa kwanza sio kukimbilia Marekani na Ulaya...huu ujumbe nawapa Chadema na CCM acheni kuwaandaa wananchi tatizo la Watanzania sio matawi.mkubwa you are right kweli matawi ni jina tuu,tawi halisi ni watu kuwa na moyo kukipenda chama chao kwa ajili ya maendeleo ya Taifa,politicians wetu are pro-western lobby kwamba kila kitu DC,....stupid moves.
mafisadi yanalindana kwa gharama yoyote ile[/QUOTE
usilolijua litakusumbua bure we endelea na mambo yako yasiyo na siasa...
Mizee mingi hapo imekwenda kutembelea watoto wao waliowapeleka nje na baadhi nyumba zao ndogo zilipo huko hivyo kwao hiyo ilikuwa ni likizo time.
Kwa chaa kisanii ni kama wanaendeza usanii.