RITZ hebu tujuze huyu jamaa wenye hereni vipi? tukisema NyinyiEM, mnaendekeza u-kamerun unanuna?
huyu nga-pu vipi?
Kumbe Mamiss ndio mashabiki wa magamba washington DC. Haina shida tunajua ni vibustani waliopelekwa huko kwa fedha za ufisadi. Wengine ni wakimbiza mwenge walioponea Chupchup kuondoka na "ngoma".
MH. Abdulhaman Kinana akiingia ukumbini uku akiongozana na viongozi wa tawi la CCM hapa DC.
MH. Abdulhaman Kinana akipiga makofi uku hakiingia ukumbuni hapo tayari kwa ufunguzi wa tawi la CCM, watu wengi walijitokeza katika ufunguzi huo na kujipatia kadi za chama chao tawala cha CCM.
Picha ya pamoja ya viongozi wote wa matawi mengine ya CCM kutoka sehemu tofauti za nje ya DC kama Minnesota kiongozi wake alikuwepo, North Carolina, New York na Taxas.
Meza kuu na ya viongozi wakiwa wametulia kabisa wakisikiriza lisara lilikuwa lina sumwa ukumbuni hapo
Loveness mwenyeketi wa tawi la CCM, DC akiongea maneno mawili matatu kabla ya kumkaribisha mgeni rasm katikia shughuri hizo za ufunguzi wa tawi la CCM hapa DC.
MH. Abdulahaman Kinana akiongea baada ya kukaribishwa na mwenyekiti wa tawi la CCM, DC Loveness. Kwa picha zaidi bofya ready more.
Picha kwa hisani ya Vijimambo Blog
Hayo marangi siyapendi kabisa mimi.
justification nyingine zinaonyesha akili imeingia mchuzi wa dagaa.Kama hereni ni hoja mbona Sugu pia alikuwa anavaa?
Chama
Gongo la mbotoDSM
Halafu ukumbuke ni watu wazima hao, wamegoma kuzeeka
Katika hii picha sera gani tena hapa CCM wanaleta?? kwenye kiti kina mama wanafanya nini tena!
Mie nilijua huko ulaya ushamba wa kutundika matambara ukutani uliwaepuka? Kama una malaria +1 tu unaweza ku-puke nyongo ya kutosha kufanyia utafiti!
Ya kushonesha migauni yenye picha ya mtu ndo kiboko yake, mh!
Mtaweweseka sana; cha msingi ujumbe umeupatajustification nyingine zinaonyesha akili imeingia mchuzi wa dagaa.
Aseeee........!!:spy:Mie nilijua huko ulaya ushamba wa kutundika matambara ukutani uliwaepuka? Kama una malaria +1 tu unaweza ku-puke nyongo ya kutosha kufanyia utafiti!
Ya kushonesha migauni yenye picha ya mtu ndo kiboko yake, mh!
Angalia jamaa linavyotathmini hapo, ha ha haaaaaa!!!!!!!!
Ufuska mtaacha lini nyie watu??Hivi Marekani ni Ulaya nilikuwa sifahamu tunashukuru kwa kutufahamisha.
Kweli NYINYIEM mnatisha, safi sana chama cha wakulima na wafanyakaz? hata alama za chama hawakijui wamebaki kukenua meno na kuonyesha mapaja ovyoo na nguo zao za kariakoo.
Mkuu RitzHivi Marekani ni Ulaya nilikuwa sifahamu tunashukuru kwa kutufahamisha.
upo dunia ipi? mpaka sasa hufahamu Sugu alikuwa nana na sasa?Kama hereni ni hoja mbona Sugu pia alikuwa anavaa?
Chama
Gongo la mbotoDSM