winner forever
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,095
- 269
Bonge ya ushindi kwa JJ. Mnyika. Hili ni jembe la uhakika kwa siasa za Tanzania,pa1 sana wana-CDM wote,daima mbele tu,
Kweli kabisa manake wabunge wote wa ccm wamefanya chochote kwenye majimbo yao....hata JK ametimiza ahadi zake zote alizotuahidi watanzania!!!!Kushinda kesi ni kitu kimoja, ila kiukweli huyu jamaa hajafanya chochote jimboni kwake, ajipange vizuri, huu ni ushauri wa bure tunampa.:israel::israel:
Nasikia wasira yupo gombe anaomba Kura kwa Nyara wenzake
Kushinda kesi ni kitu kimoja, ila kiukweli huyu jamaa hajafanya chochote jimboni kwake, ajipange vizuri, huu ni ushauri wa bure tunampa.:israel::israel:
Udom tunakupongeza sana kamanda wetu Johm Mnyika wewe nijembe. Wasira anajisikiaje leo maana yeye jana alifukuzwa na wananchi wake kwenye mkutano.
Umeonaeeee! Kwa ile sura yake...........kwa kweli Nyara inatisha! LOL.Hukumu ya Mnyika imetoka wewe unamkumbuka Wasira, kweli nimeamini WASIRA tishio la CHADEMA, hata huko Bunda walikuwa wafuasi wa CDM waliojipanga kuzomea ili media ichukue coverage ila wana jimbo tunajua WASIRA kafanya nini.
Pia Wasira sio mbunge wa Ubungo, kulikoni wewe UMKUMBUKE? hahahahahahaha!
VIVA TYSON unatisha aisee!