johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,996
- 142,010
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema anashangaa CCM kuendeleza mambo ya Chipukizi kwa sababu yalishafutwa Kisheria mwaka 2019 pamoja na vikosi Vya Ulinzi Vya chama
Mnyika amesema kufuatia Msajili wa Vyama Vya Siasa kukaa kimya anaiagiza Bavicha kurejesha Idara ya Watoto Wafuasi wa Chadema yaani Chemchem Ili waendelee kuwaandaa kwa ajili ya kushika Madaraka siku zijazo
Mnyika amesema Watoto wa miaka 12-17 waanze kusajiliwa kama Chemchem ya Uongozi
Source Mwananchi
I wish you a Merry Christmas 😀
Mnyika amesema kufuatia Msajili wa Vyama Vya Siasa kukaa kimya anaiagiza Bavicha kurejesha Idara ya Watoto Wafuasi wa Chadema yaani Chemchem Ili waendelee kuwaandaa kwa ajili ya kushika Madaraka siku zijazo
Mnyika amesema Watoto wa miaka 12-17 waanze kusajiliwa kama Chemchem ya Uongozi
Source Mwananchi
I wish you a Merry Christmas 😀