Asante mzee wa Usoga kwa kusahau magamba na kuja kwenye msiba wetu.Ila usisahau hayati Regia alipigania sana katiba mpya ya watanzania wote, muenzi tafadhali. RIP mpendwa RegiaKatika nafasi kama hizi tunatanguliza wakuu kwamba wanaongoza maombolezo, ni kitu cha kawaidfa kutafsirika vizuri tu. Asante Geza Ulole