Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
- Thread starter
- #161
inaonyesha tu wamoja bt sijawaona hawa muhimu lawasa ngoyai na aziz rostam sijui wapo wapi?
Lingekuwa tukio la CCM au Kanisani Ngoyai angekuwa kimbelembele kabisa kwa vile ni kusaka kura za urais, lakini pale msiba wa memba wa Chadema hauna siha ya urais kwake.