Mtoto mtukutu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 348
- 109
Mapanga shaa mwanza to dar 3hrs
Fast jet 90mts
Fast jet 90mts
Naona leo upo zamu ya usiku umeshakula mashudu..tulisema na nani? Halafu hiyo maandishi makubwa unaugonjwa wa macho?KICHWA MAJI WEWE LEO MMESAHAU FAST JET ILIPOSEMA INAKABILIANA NA HALI YA UCHUMI NDIO MAANA WAKANUNUA NDEGE HIZO...MKACHONGA MIDOMO KAMA VINGEDERE NAKUSEMA MAGUFULI NDIO CHANZO? LEO HII UNASEMA TUSIWAAMINI FAST JET?
Tatizo ATCL wanateuana kwasababu ya kuwa na kadi ya CCM.
Utaalamu unawekwa pembeni.
Pamoja na kuwa na jeuri ya fedha, UAE walimchukua Clark kuisimamisha Emirates ambayo leo ni moja ya shirika linalokuja kwa kasi sana duniani.
Walianza na mtaji wa $10Milion na ndege moja ya kukodi toka Pakistani mwaka 1985. Leo hii wana ndege walau 200+ na wapo kwenye destinations almost 150+.
Biashara ya ndege sio mchezo.
Yaani unachotaka kutuambia ni kubwa kwamba we we are unajua zaidi masuala ya usafiri wa anga na ndege kuliko serikali?Embraer 190, E190, Embrear 170, ya Brazil ni hottest cake... in aviation hasa ktk regional flights.. !! Yaani hiyo inaua biashara ya ndege za turbo props kabisa... na ni special for regional flights.. medium and short ranges..!!
Sijui kama Serikali yetu inajua hili..!!
View attachment 405764 View attachment 405766 View attachment 405769 View attachment 405764 View attachment 405766 View attachment 405769 View attachment 405770 View attachment 405771 View attachment 405771View attachment 405771 View attachment 405773
Mambo ambayo Magufuli ameyafanya muhimbili nayo hamyaoni? Angalia kwenye huduma za afya nchini angalia nidhamu kazini kwa watumishi. Najua strategy ya upinzani ni kupindisha mafanikio ya Magufuli ili aonekane mmbaya kwa wananchi na matokeo yake Lowassa ndio aonekane mwema.Hebu nitajie moja wapo ya Maslahi ...ya Taifa aliyofanya au kununua Ndege!,,,inamsaidia nini Mama mjamzito anaenguka kwenye Kitanda Hospital au hata hiyo hujui....
Una uzoefu wa ddaladala na mabasi ya Songea.KICHWA MAJI WEWE LEO MMESAHAU FAST JET ILIPOSEMA INAKABILIANA NA HALI YA UCHUMI NDIO MAANA WAKANUNUA NDEGE HIZO...MKACHONGA MIDOMO KAMA VINGEDERE NAKUSEMA MAGUFULI NDIO CHANZO? LEO HII UNASEMA TUSIWAAMINI FAST JET?
Maskini huwa tuna namna yetu ya kuwaza, moja wapo ni huyu hapa!panga liki meguka angani lazima mpige mbizi kwa hewa
panga liki meguka angani lazima mpige mbizi kwa hewa
Una ushahidi?BAVICHA mmeumia sana kwa ATC kupata ndege mpya eh? Mbona mlikuwa mnaisifia sana Precision Air na ndege zao za mapanga?