PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

KICHWA MAJI WEWE LEO MMESAHAU FAST JET ILIPOSEMA INAKABILIANA NA HALI YA UCHUMI NDIO MAANA WAKANUNUA NDEGE HIZO...MKACHONGA MIDOMO KAMA VINGEDERE NAKUSEMA MAGUFULI NDIO CHANZO? LEO HII UNASEMA TUSIWAAMINI FAST JET?
Naona leo upo zamu ya usiku umeshakula mashudu..tulisema na nani? Halafu hiyo maandishi makubwa unaugonjwa wa macho?
 
Yaani Tz si mchezo na ni tishio kwa eneo la maziwa makuu kwani story zetu zinebadirika ni aviation tu mitandao yote ndani ya muda mfupi tu
 
Tatizo ATCL wanateuana kwasababu ya kuwa na kadi ya CCM.
Utaalamu unawekwa pembeni.
Pamoja na kuwa na jeuri ya fedha, UAE walimchukua Clark kuisimamisha Emirates ambayo leo ni moja ya shirika linalokuja kwa kasi sana duniani.
Walianza na mtaji wa $10Milion na ndege moja ya kukodi toka Pakistani mwaka 1985. Leo hii wana ndege walau 200+ na wapo kwenye destinations almost 150+.
Biashara ya ndege sio mchezo.

BAVICHA mmeumia sana kwa ATC kupata ndege mpya eh? Mbona mlikuwa mnaisifia sana Precision Air na ndege zao za mapanga?
 
Embraer 190, E190, Embrear 170, ya Brazil ni hottest cake... in aviation hasa ktk regional flights.. !! Yaani hiyo inaua biashara ya ndege za turbo props kabisa... na ni special for regional flights.. medium and short ranges..!!

Sijui kama Serikali yetu inajua hili..!!

View attachment 405764 View attachment 405766 View attachment 405769 View attachment 405764 View attachment 405766 View attachment 405769 View attachment 405770 View attachment 405771 View attachment 405771View attachment 405771 View attachment 405773
Yaani unachotaka kutuambia ni kubwa kwamba we we are unajua zaidi masuala ya usafiri wa anga na ndege kuliko serikali?
 
Hebu nitajie moja wapo ya Maslahi ...ya Taifa aliyofanya au kununua Ndege!,,,inamsaidia nini Mama mjamzito anaenguka kwenye Kitanda Hospital au hata hiyo hujui....
Mambo ambayo Magufuli ameyafanya muhimbili nayo hamyaoni? Angalia kwenye huduma za afya nchini angalia nidhamu kazini kwa watumishi. Najua strategy ya upinzani ni kupindisha mafanikio ya Magufuli ili aonekane mmbaya kwa wananchi na matokeo yake Lowassa ndio aonekane mwema.
 
KICHWA MAJI WEWE LEO MMESAHAU FAST JET ILIPOSEMA INAKABILIANA NA HALI YA UCHUMI NDIO MAANA WAKANUNUA NDEGE HIZO...MKACHONGA MIDOMO KAMA VINGEDERE NAKUSEMA MAGUFULI NDIO CHANZO? LEO HII UNASEMA TUSIWAAMINI FAST JET?
Una uzoefu wa ddaladala na mabasi ya Songea.
Kwa hizo picha ndege za za fstjet ni utumbo.
 
Ndege mpya za fastjet-wingi ukimaanisha zaid ya moja

....fastjet imepanga kuingiza nchini ndege moja jamii ya. ....... -umoja , yaaan ndege moja.

Anyway naona wameamua kutumaliza tupangaboi twetu
 
Mkisifiaa bilakusahauu naulizakawaida zinaondokaa somsitegemee ya 42"000
 
Bhuahahahahaha dah watu mna utani wa ngumi jamani khaaaa eti mapanga shaaa
 
Aliyeleta mwendo kasi alibuni njia sahihi ya kufanya biashara sijui kama ATCL wamejipanga vipi kukabiliana na ndege za kisasa
 
Back
Top Bottom