mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
"Mie navyoelewa", Asante kwa kuja. Jion njemaHatuna haja ya kukashifu na kupondea fulani kwasababu mie navyoelewa uwepo wa ndege nyingi tena za ukubwa tofauti ni faida kwetu sie wananchi. Naombea ziendelee kuja za aina zote ili kila mpandanji achague mwenyewe kulingana na utashi wake
Tusiwe kama hatukwenda shule ama sote tuna uwezo sawa.