Mleteni PASCO kwenye huu UZI, then atuambie tatizo ni watanzania, inawezekana CCM wamekodi wahuni waje wachimbe hiyo bara bara.
Tatizo ni CCM lingekuwa hata mtu mmoja, basi ingekuwa rahisi we angalia mambo yanayofanywa. Hivi ingekuwa msafara wa JK si Polisi wangefukia mara moja
hivi kwny suala kama hili c mwenyekiti wa chama ndo anaagiza,na mwenyekiti ndo anatuongoza,daaaaaaah we are at the middle of the jungle in front of black jaguar,what next.... lets check.
View attachment 62669izi ni moja ya mbinu za ccm kuzuia m4c ya chadema, hapa ni wakiwa wamechimba barabara ili msafara wa chadema -m4c usiingie kijiji cha namgezi kata ya keya ulanga mashariki...kwa fikra izi je ccm imefilisika kifikra!!!
Nashawishika kusema kuna kikosi hatari ndani ya CCM, na kinaweza kuzua balaa kubwa. Leo wanachimba barabara, kesho watafanya nini, kutega mabomu? Na nini tafsiri ya mambo yanayofanywa na hiki kikosi kazi cha maangamizi?