Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,264
Jf members!
SALAAM!
Ifahamike kwamba tunaishi ktk dunia inayokabiriwa na changamoto mbalimbali za kimaisha - kwamba changamoto hizi hutokana na kasi na mabadiliko ya ukuaji wa kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.
Sasa wananchi tujiulize JE unapokutana na changamoto kadhaa suluhu la kudumu kwetu ni kuishauri taasisi si kukimbilia kukabidhi kadi as if siku unapokabidhi kadi ya CCM, CDM, ACT, NCCR nk ndiyo matatizo yako huisha.
Huu ni ulimbukeni wa kisiasa - kwa bahati nzuri jambo fulani linapokwama ktk hatua za Mtaa / Kijiji waweza kwenda Kata, hapo likikwama wilaya na mikoa ipo na kule likikwama basi Taifa lipo. CCM ni chama chetu na kwa namna yoyote tuepuke kukidharirisha.
Nawasubiri pwayu pwayu wa CDM, and groups
SALAAM!
Ifahamike kwamba tunaishi ktk dunia inayokabiriwa na changamoto mbalimbali za kimaisha - kwamba changamoto hizi hutokana na kasi na mabadiliko ya ukuaji wa kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.
Sasa wananchi tujiulize JE unapokutana na changamoto kadhaa suluhu la kudumu kwetu ni kuishauri taasisi si kukimbilia kukabidhi kadi as if siku unapokabidhi kadi ya CCM, CDM, ACT, NCCR nk ndiyo matatizo yako huisha.
Huu ni ulimbukeni wa kisiasa - kwa bahati nzuri jambo fulani linapokwama ktk hatua za Mtaa / Kijiji waweza kwenda Kata, hapo likikwama wilaya na mikoa ipo na kule likikwama basi Taifa lipo. CCM ni chama chetu na kwa namna yoyote tuepuke kukidharirisha.
Nawasubiri pwayu pwayu wa CDM, and groups