Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kazi nzuri sana makamanda Morogoro wamewapokea kwa bashasha sana. Nimeongea na kamanda mmoja wa Mvomero ameniambia shughuli ilikuwa pevu sana hasa mikutano iliyofanyika madizini na Kibati.
Kazi nzuri sana makamanda Morogoro wamewapokea kwa bashasha sana. Nimeongea na kamanda mmoja wa Mvomero ameniambia shughuli ilikuwa pevu sana hasa mikutano iliyofanyika madizini na Kibati.
Dr wa ukweli,upo ndani ya moyo wangu.
Mkuu Mwita hivi Morogoro mjini ni lini hii M4C?
Itakuwa tarehe 25 mkuu
Itakuwa tarehe 25 mkuu
CCM tushawasema mpaka asymptote ya kikomo.
Sasa tuangalie "chama mbadala".
Nia ya kuanza kwa kusema hivi ni kutaka kueleweka kwamba naangalia mambo bila kujali vyama, bali kwa kuangalia mambo ya msingi zaidi.Mambo kama utaifa (kwa maana yake chanya), itikadi, miongozo, principles etc.
Kuna msemo wa Kiingereza kwamba picha moja ina thamani ya maneno elfu moja, shukurani kwa mdau aliyeleta picha.
Ona hii https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=62414&d=1345383169
Naona kuna fulana nyekundu zilizoandikwa "Red Brigade". Soma zaidi kuhusu chanzo cha "Red Brigade" kwenye Wiki yake
Red Brigades - Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa sie tulioona "miezi kumi na nane ya kufunga mkanda" kwa macho na akili bila kuhadithiwa, kati ya hao tuliojitaabisha kidogo kufuatilia habari hata kwenye vitabu na vijarida tu tutakumbuka "Red Brigades" kama ma violent Marxist-Leninist up there with Carlos "The Jackal" na "Baaden Meinhof". Watu ambao waliamini katika assasinations kufikia political ends zao.
CHADEMA kinataka kutuaminishw kwamba ni chama mbadala.Kinaamini katika itikadi za "Red Brigades" hivi? Kiasi cha kuchapa fulana?
Au CHADEMA ni a bunch of people with no depth kiasi wanaweza kuchapa fulana "zikatokelezea" this prominently, bila kujua kwamba katika wasomi wastaarabu wa leo the entire "Red Brigade" chapter of history is an embarrasing episode?
Je, kiitikadi, CHADEMA kinaunga mkono "Marxism-Leninism" kiasi cha kujiranda na "Red Brigade" yake mpaka kuchapa fulana zinazokubalika hivi?
hizi picha zitasababisha BP za watu kupata
maana zipo za KYELA, TARIME . MOROGORO leo tu
lazima mlango wa kutokea utafutwe hii hali si ya kawaida tulizoa vyama vya msimu sasa hapa hali imekuwa ngumuni za 2010 hizo
angekuwa nape hapo alishaamurisha atandikiwe vitenge chini,Kwa jinsi Nape Jr anavyopenda ujiko,angekuwa yeye ndo Dr.Slaa angeamrisha watu hawa wamwite Masiha au Nabii......choko sana huyu
word... dah c mchezo, nimependa uchambuzi wko....... lkn unafkiri bila red brigade kitaeleweka kweli hpa bongo ukizingatia chama tawala kilivyo na mbinu chafu sna...?
CHADEMA inaamini nini ni muhimu zaidi, na sijajibiwa.
Mie siamini katika politics za violence kama "Red Brigades".
Naomba wananchi tujulishwe ama CHADEMA haiamini katika violence in politics, and this Red Brigades endorsement is borne out of a juvenile oversight and lack of education, ama inaafiki violence in politics with no apologies kiasi cha kuchapa fulana za Red Brigades.
Upofu wa akili