Fundisho kwa chama chochote makini ni sera makini zinazopelekea chama flani kuwa na mtaji mkubwa wa kura dhidi ya vyama vingine.Hili fundisho kwa chadema na CCM wenye mawazo maovu kwa CUF
Fundisho kwa chama chochote makini ni sera makini zinazopelekea chama flani kuwa na mtaji mkubwa wa kura dhidi ya vyama vingine.
Sasa kwa kuanzia na matokeo ya kura mlizopata igunga na chaguzi ndogo ndogo zote ikiwepo Arumeru ambapo you have surrender na kutundika daluga, ainisha hapa hayo mafundisho makini tunayoweza kuyapata kutoka kwa CUF kwa matukio haya yenye maslahi kwa umma.
Tofauti na hapo CUF ni maiti iliyokua inanuka ikimsubiri Lipumba aje azike mzoga huu.
CUF is in grave condition, leo tunazika.
Hamna kitu hapo, Kwani Lipumba ndio atabadili nini? Chama kishajifia Prof kaja kuhudhuria mazishi. Leo jumapili watu hawana pa kwenda wameamua waende kupoteza mda J.K.Nyerere airport. Chadema itawatesa sana, na bado huo ni mwanzo tu.
watu waliowatoa temeke kwenye malori?
Endelea kuota..keep on dreaming
:focus: Ainisha hapa hayo mafundisho yenye maslahi kwa umma kwa kutoka kwa CUF kama nilivyokuuliza kwa kuainisha hapo juu.
Tofauti na hapo CUF ni maiti iliyooza ikimsubiri Lipumba aje afukie mzoga huu.
Leo ni mazishi, baba kaja kuzilka.
Haya mapokezi ya Prof. Lipumba yamefana sana. Bila shaka ni kutokana na promo kubwa sana iliyofanywa na vijana wake pamoja na uwepo wa Afande Sele.
Uwepo wa afande sele umesaidia sana kujaza watu, na hayo ndio matunda ya cuf kuungana na ccm. Wamewafundisha mbinu mbadala za kukusanya watu, ni kutumia wasanii wa muziki na vichekesho! Si ajabu wengi pamoja na kusombwa na malori watakuwa wamekwenda kumuona baba Tunda.
Angalau baba Tunda kajiongezea kipato siku ya leo. Cuf endeleeni kuwaongezea wasanii kipato kila mara, hata maalim seif akija buguruni muwaalike tmk wanaume watumbuize, mtafunika sana siku hiyo!
This a lesson to chadema, CDP and CCM fans
CUF will be there to stay..na itachukua nchi tumeanza zanzibar tunakuja bara kwa kasi
Chama cha wananchi kunachotetea haki sawa kwa wote..(bila kujali dini, rangi wala kabila) si unajua chama chenu huko lazima uwe ndugu wa slaa au mbowe au zitto ndio ubunge utapata..mifano unayo..
chama cha wananchi kinachotetea serikali tatu ili kuondokana na kero za muda za muungano..naona mmeanza kuiga nowdays..
chama cha wananchi kinachotetea na kuitaka siasa kutumikia uchumi na si uchumi kutumikia siasa..
Kuhusu kufa kwa CUF utasubiri sana hadi umri wako wote (yaani wewe utakufa) bado CUF itakuwepo..we can bet..
Chama kimefilisika hiki nilisema muda mrefu sana na sasa ndio mbowe ameweka wazi kabisa kuwa CDM kimekuwa muflisi kinatembeza bakuli la kampeni, ha ha haaaaaaaa
Toa jibu specific kama swali lilivyouliza ndugu mfiwa,
kwa kuanzia na matokeo ya kura mlizopata igunga na chaguzi ndogo ndogo zote ikiwepo Arumeru ambapo you have surrender na kutundika daluga, ainisha hapa hayo mafundisho makini tunayoweza kuyapata kutoka kwa CUF kwa matukio haya yenye maslahi kwa umma.