MWIBA WA KATANI
Member
- Feb 26, 2012
- 39
- 42
Kesho ni siku ambayo mtaalamu wa uchumi wa kimataifa na mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof.Ibrahim Lipumba atakuwa akiwasili nchini kutokea Marekani.Alikuwa kikazi kwa miezi mitano baada ya kuwa mchumi-mwafrika pekee aliyeshinda propasal ya project ya Uchumi na demokrasia.Prof.Lipumba amekuwa akiishauri serikali kuhusu mambo mengi ya uchumi wa TZ but mawazo yake yanakuwa ignored simply yeye ni mwana CUF.Nchi yetu imekuwa na desturi ya kupuuza wataaalam wake wa ndani na kuaacha wakatumike na nchi zingine.Mfano mzuri ni madaktari wetu wengi wanakimbilia Botswana kwan hapa nchini thaman yao ni ndogo hadi inabid wagome na bado serikali ya CCM inatishia kuwafukuza.Nchi inawataalam wengi kama kina Prof.Shivji,Baregu na wengine wengi lakini kwa serikali ya CCM inwaignore simply coz wanaitikan za kukinzana na serikal ya CCM.Ndiyo maana CUF katika sera zake inasisitiza uundwa wa serikali ya umoja wa kitaifa kama ilivyo nchi kama Marekani ambapo hata kama ni wa chama pinzani serikali inaweza kutumia utaalam wako kwa manufaa ya nchi.NABII HAKUBALIKI KWAO.PROF.LIPUMBA KARIBU NYUMBANI TUENDELEZE MAPAMBANO.Kunatetesi kwamba mapokezi hayo makubwa yataoneshwa LIVE STAR TV kuanzia saa 7 mchana