Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,204
- 1,462
Mil,500 simchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani nipo hapa uwanja wa ndege kumefurika wanachama wa cuf........waliosema cuf imekufa leo sijui mtajificha wapi watu wamejaa wakimsubili mkubwa na bigwa wa uchumi duniani
Inawezekana watu wanamkubali Lipumba lakini hawaikubali CUF.
mkuu Lipumba hakubaliki ndio maana kura zake za uraisi zinapungua kia chaguzi inayokuwepoInawezekana watu wanamkubali Lipumba lakini hawaikubali CUF.
Tehtehetehete Kiongozi leo umeamka na maitu loh...........yaani umeua kabisaaaaa kila sehemu
Hii maiti imenikera sana kwa mda mrefu kwa harufu kali inayopwiha, leo itabidi mzoga huu uzikwe futi 12 kuepusha uchafuzi wa hali ya hewa.
lipumba hana tatizo tatizo ni lichama lake la cuf,Lipumba ni shujaa asiekubalika kwao mfano ni kila anapogombea uraisi wa jmt huwa kura zinapungua
Ahsante FPoY. Umenena kama mama. Utaifa muhimuJamani,tutoe nafasi ya kumwambia,welcome back home,halafu akisha pumzika tutamwambia yote yaliyoisibu familia.
Nyote mnaochangia inawezekana mnafamilia au mnatarajia kuwa na familia.
Mnapotoka safari na kurudi nyumbani baada ya siku nyingi kuw mbali na familia ,unatarajia upendo na nyuso za furaha zikupokee.
Leo hata mimi nipo hapa kumlaki,itikadi pembeni,utaifa mbele.
tobaaaaa yarabiiHata mimi nipo hapa airport, lakini nimekuja kurudisha kadi ya CUF.