Si unajua tena January pesa zote za ufisadi alizokuwa ameaandaa kwa ajili ya kampeni hazitatumika.
Inabidi kulipa watu na kuwaleta kwenye mikutano kama hii.
Mh kwa mbali amefanana sana na King Mswati ukimwangalia sana!
I couldn't agree with you more aisee. Watu wote hawa wamelipwa kila siku na kusombwa na malori ya CCM. It makes sense babu.
JF Kiboko ile pete alopewa na Sheikh Yahaya naona hajaivaa!
Anasubiri jamaa aanguke!
body guard!Punguza size ya picha zako mr madrassa al sul
Na huyo mwanajeshi hapo nyuma anafanya nini?
naona wanakula meza moja sasa!
naona wanakula meza moja sasa!
Hivi ni kweli kuwa RISALA za Muungwana Kikwete huwa zinaandikwa na January Makamba?
Kama huyu jamaa akiwa Waziri au Waziri Mkuu, tutegemee nini?
Ni sababu nyingine kwa nini Dr. Slaa lazima awe Rais ili kuondoa watu kama huyu January Makamba, Masha, Kawamba na wengine wengi ambao uongozi wao tuliuona kuanzia mwaka 2005 hadi leo hii.
Sidhani kama mtu ana akili zake sahihi halioni hili. Hata wanaoishangilia CCM hapa JF wanafanya hivyo na jioni kwenda kukinga kibakuri kwa mweka hazina wa CCM ili wapate vipande vyao 30 kwa kuwasaliti Watanzania.
AMKA WEE MTANZANIA.
Mwafrika na Rev,
Hivi mnapoweka hizi picha zenu huwa mna maanisha kitu gani?..
Au labda mimi nakosea kusoma ujumbe wenu!.
JF Kiboko ile pete alopewa na Sheikh Yahaya naona hajaivaa!
Mwafrika na Rev,
Hivi mnapoweka hizi picha zenu huwa mna maanisha kitu gani?..
Hamfurahisi mtu na wala sii mas-hala..Au labda mimi nakosea kusoma ujumbe wenu!.