Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Omg!
Mie naogopa kuchangia mawazo jamaa anaweza kukuadhibu huko huko ilipo
Profesa Lipumba aliyasema hayo juzi, alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Masasi, mkoani Mtwara.
Alisema Kikwete ni mtu wa mzaha hata katika mambo mazito na kwamba hali hiyo amekuwa nayo tangu akiwa chuoni.
"Huyu mgombea urais wa CCM namfahamu tangu tukiwa chuoni.
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo
JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji cha Mashewa kilichoko Korogwe vijijini
Bango la Profesa Maji Marefu
Huyu ni Mganga Maarufu wa CCM wameona wampe Ubunge kwa tiketi ya Chama Chao Sasa Je Huko Bungeni na Kazi yake itakuwaje au anakwenda kwa ajili ya kuwaagu wa Bunge kule Bungeni au atasaidia kuleta maendeleo ya Taifa letu??? Hii Nchi sio Gambia Mbunge lazima awe mganga sasa huku tunapokwenda sasa Ni hatari zaid. Wananchi CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO. Usikubali kupoteza kura yako kwa kuchagua hii. HATARI NCHI IMESHAUZWA SASA WANATAFUTA KINGA ZA GIZA.
Post imerudiwa hii.http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TI4KfAbNmgI/AAAAAAABPMg/0lbxQsfIAbU/s1600/jk2.jpg Jk amnadi Prof Maji Marefu Korogwe leo
http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TI4KfAbNmgI/AAAAAAABPMg/0lbxQsfIAbU/s1600/jk2.jpg
(Picha toka MICHUZI)
Jk anamnadi jamaa kwa mbali akiwa nje ya gari la muheshimiwa!
Huyu jamaa amemwamgusha msomi Dr E Mdolwa na anaaminika kuwa kigagula wa kutupwa.
JK amefanya vema kumweka kwa mbali maana huwezi jua si ajabu pengine Sheikh Yahya hafui dafu hapo!!
Mi sidhani kachaguliwa kwa sababu ya uganga wake. Nilikuwepo Korogwe muda mfupi uliopita Steven Ngonyani ndio mgombea anayekubalika kwa wananchi wa jimbo lake kuliko mgombea yeyote. Labda uniambie kuna mengine nisiyoyajua.
He's a great intellectual. Vote CCM
don't u appreciate that witchcraft is one of the respectable professions? Vote CCM, Vote JK
Kinachoangaliwa zaidi ni matokeo-sasa hivi haendelei tena kuanguka jukwaani :becky:
issue kubwa kwa huyu mheshimiwa ni kwamba hajui kingereza hata chembe, achilia mbali labda anaweza kuwa na uwezo wa kupambanua mambo lakini sasa zile sheria zetu za nchi zilizoandikwa kimombo atazielewa je ili awatetee wapiga kura wake??...mh! kaaazi kweli kweli!
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo
JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji cha Mashewa kilichoko Korogwe vijijini
Bango la Profesa Maji Marefu
Huyu ni Mganga Maarufu wa CCM wameona wampe Ubunge kwa tiketi ya Chama Chao Sasa Je Huko Bungeni na Kazi yake itakuwaje au anakwenda kwa ajili ya kuwaagu wa Bunge kule Bungeni au atasaidia kuleta maendeleo ya Taifa letu??? Hii Nchi sio Gambia Mbunge lazima awe mganga sasa huku tunapokwenda sasa Ni hatari zaid. Wananchi CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO. Usikubali kupoteza kura yako kwa kuchagua hii. HATARI NCHI IMESHAUZWA SASA WANATAFUTA KINGA ZA GIZA.
Nasikia siku hizi ameacha uganga ni tajiri wa kutupwa huko Korogwe....