Elections 2010 Picha: Kikwete Tanga, Bumbuli, Kilindi, Kilimanjaro, Arusha

Mi siamini katika huo uzushi wa eti kuna majini, uchawi etc...Ndio maana hata BBC walisema kwenye kura zao za maoni kuwa sisi waTz tunaongoza Afrika kwa kuamini mambo ya nguvu za giza.

Naamini kuwa kila mtu ana haki sawa ya kuomba kuongoza wanachi wenzake, sijali kama huyo ni mganga au profesa ama ni mlalahoi mradi tu apewe nafasi ajieleze kwa wanachi wakimkubali basi ni haki yake kwenda bungeni.

Maswala haya ya waganga na kuwaendekeza ndio tatizo letu. Awe ni huyu au kumpa nafasi sheikh Yahya kuongea utumbo kwenye national Tv hiyo ni wadhi kuwa sisi wa Tz tuna walakini kama jamii, tuinue kioo na kujiangalia kwa kweli...
 
Huwa namkubali kwa baadhi ya mambo Sheikh Prof Lipumba


Profesa Lipumba aliyasema hayo juzi, alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Masasi, mkoani Mtwara.

Alisema Kikwete ni mtu wa mzaha hata katika mambo mazito na kwamba hali hiyo amekuwa nayo tangu akiwa chuoni.

"Huyu mgombea urais wa CCM namfahamu tangu tukiwa chuoni.
 
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo

jk2.jpg


JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji cha Mashewa kilichoko Korogwe vijijini

jk5.jpg

Bango la Profesa Maji Marefu



Huyu ni Mganga Maarufu wa CCM wameona wampe Ubunge kwa tiketi ya Chama Chao Sasa Je Huko Bungeni na Kazi yake itakuwaje au anakwenda kwa ajili ya kuwaagu wa Bunge kule Bungeni au atasaidia kuleta maendeleo ya Taifa letu??? Hii Nchi sio Gambia Mbunge lazima awe mganga sasa huku tunapokwenda sasa Ni hatari zaid. Wananchi CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO. Usikubali kupoteza kura yako kwa kuchagua hii. HATARI NCHI IMESHAUZWA SASA WANATAFUTA KINGA ZA GIZA.​


Unataka kuniambia kwamba waliomchagua hawana akili?
 
Nawaomba wahudumu wa bunge wampange Maji marefu (kama akishinda) kiti kando ya Mama Rwakatare (kama akiteuliwa)...
 
Jk amnadi Prof Maji Marefu Korogwe leo


(Picha toka MICHUZI)

jk2.jpg




Jk anamnadi jamaa kwa mbali akiwa nje ya gari la muheshimiwa!
Huyu jamaa amemwamgusha msomi Dr E Mdolwa na anaaminika kuwa kigagula wa kutupwa.
JK amefanya vema kumweka kwa mbali maana huwezi jua si ajabu pengine Sheikh Yahya hafui dafu hapo!!
 
http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TI4KfAbNmgI/AAAAAAABPMg/0lbxQsfIAbU/s1600/jk2.jpg Jk amnadi Prof Maji Marefu Korogwe leo

http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TI4KfAbNmgI/AAAAAAABPMg/0lbxQsfIAbU/s1600/jk2.jpg
(Picha toka MICHUZI)










Jk anamnadi jamaa kwa mbali akiwa nje ya gari la muheshimiwa!
Huyu jamaa amemwamgusha msomi Dr E Mdolwa na anaaminika kuwa kigagula wa kutupwa.
JK amefanya vema kumweka kwa mbali maana huwezi jua si ajabu pengine Sheikh Yahya hafui dafu hapo!!
Post imerudiwa hii.
Mods iunganishe na illleeeee nyingine
 
Mi sidhani kachaguliwa kwa sababu ya uganga wake. Nilikuwepo Korogwe muda mfupi uliopita Steven Ngonyani ndio mgombea anayekubalika kwa wananchi wa jimbo lake kuliko mgombea yeyote. Labda uniambie kuna mengine nisiyoyajua.

He's a great intellectual. Vote CCM
 
issue kubwa kwa huyu mheshimiwa ni kwamba hajui kingereza hata chembe, achilia mbali labda anaweza kuwa na uwezo wa kupambanua mambo lakini sasa zile sheria zetu za nchi zilizoandikwa kimombo atazielewa je ili awatetee wapiga kura wake??...mh! kaaazi kweli kweli!

Hivi mgombea mwenza wa Dr Slaa anaitwa nani? nijuze japo cv yake.
 
Ngoja tuone kama wananchi wataamua nini siku ya kupiga kura,nimeshangaa kmuona JK akimnadi wakati Maji Marefu yupo kwa nje,sijui ndio masharti ya uganga?
 
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo

jk2.jpg


JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji cha Mashewa kilichoko Korogwe vijijini

jk5.jpg

Bango la Profesa Maji Marefu

Huyu ni Mganga Maarufu wa CCM wameona wampe Ubunge kwa tiketi ya Chama Chao Sasa Je Huko Bungeni na Kazi yake itakuwaje au anakwenda kwa ajili ya kuwaagu wa Bunge kule Bungeni au atasaidia kuleta maendeleo ya Taifa letu??? Hii Nchi sio Gambia Mbunge lazima awe mganga sasa huku tunapokwenda sasa Ni hatari zaid. Wananchi CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO. Usikubali kupoteza kura yako kwa kuchagua hii. HATARI NCHI IMESHAUZWA SASA WANATAFUTA KINGA ZA GIZA.​

CCM ni kumbakumba, wachawi nao humohumo. Ntawashangaa sana wana Korogwe ikiwa watampigia kura Mchawi MAji MArefu kuwa Mbunge wao zama hizi za Sayansi na Teknolojia, kweli kabisa. CCM kimekuwa chama cha Wachai sasa- Sheikh Yahya, Maji MArefu, hatari kubwa!
 
Nasikia siku hizi ameacha uganga ni tajiri wa kutupwa huko Korogwe....

Ingekuwa kweli hilo jina la Taaluma- Maji marefu lisingetumika. Hivi unamjua Ibilisi vizuri weye? Akupe utajiri halafu umuasi! Hawezi kufanya hilo kosa, kama hajakuua basi ataudai utajiri wake na uanze upya.
 
Back
Top Bottom