n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Wakuu,
Najua ufungaji wa JK mmeuona kirahisi na huko Mbeya hamkufanikiwa kujua kwa ukaribu kilichojiri kwa video au picha.
Hizi ni baadhi ya picha nilizozinasa nawakilisha
Gari la Polisi la maji ya kuwasha, likiranda katika mitaa ya jiji la Mbeya mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa kufunga kampeni za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Goodluck Haule, akimakabidhi moja ya mavazi ya chama hicho mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya kukihama na kujiunga na Chadema
Akiondoka uwanjani:
Najua ufungaji wa JK mmeuona kirahisi na huko Mbeya hamkufanikiwa kujua kwa ukaribu kilichojiri kwa video au picha.
Hizi ni baadhi ya picha nilizozinasa nawakilisha
Gari la Polisi la maji ya kuwasha, likiranda katika mitaa ya jiji la Mbeya mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa kufunga kampeni za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Goodluck Haule, akimakabidhi moja ya mavazi ya chama hicho mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya kukihama na kujiunga na Chadema
Akiondoka uwanjani: