Seriously wakiunda tume kuhusu hili najiua!
RIP kabisa maana itaundwaSeriously wakiunda tume kuhusu hili najiua!
Wazee wa intelijensia na vitu vizito vyenye ncha kali wakiwa katika eneo la uokoaji!
Komredi, hapo unamlenga nani? Lakini sentesi yako imejielekeza zaidi kwa Kova! Au nimekosea?
mkulu naona hapo kapata picha nzuri na hilo shati lake ndo cha maana hapo.
kesho utasikia tume ya watu kumi
Hv President hahitaji PPE like dust mask kama walivyo wengine?
Komredi, hapo unamlenga nani? Lakini sentesi yako imejielekeza zaidi kwa Kova! Au nimekosea?
Mhabeshi na mzee wa tindikali a.k.a MACHO KODO bin KENGEZA wakishusha maelezo kwa mkulu wao mapema kabla hajawqashushia lawama. Wananchi wakae chonjo MACHO KODO hachelewi kumdaka mtu akasingizia ndie aliyemdhuru Kibanda.Mheshimiwa Rais JK amezuru eneo la maafa pale kulipoporomoka ghorofa leo asubuhi.
Duuh! kumbe anamadhara?Ndo zake hizo
atatoa pole na kuzuru eneo
na kwenda msibani
halafu yataishia hapo hapo
Manyerere,Mchechu na timu yake waachwe kabisa katika hili. Kumbuka jengo hili lilianza kujengwa mwaka 2008 wakati Mchechu akiwa haijui NHC kwa maana ya utendaji! Alipoingia alikuta kuna mikataba ya kipuuzi mingi mno. Akafuta mikataba 64. huu ni mmoja wa mikataba iliyoingiwa na watangulizi wake ambao hawakuwa na chembe ya uzalendo. kwa hiyo kumshutumu yeye na timu yake ya kina Mndolwa, Suzy na wengine wengi, ni kuwaonea. Tuwe wakweli.