macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,697
- 39,400
Tatizo siyo ufundi wa ujenzi, bali ni quality ya vifaa vyetu vya ujenzi hapa nchini. Nondo zinazotumika si za kiwango takiwa, wala simenti yenyewe ni siment feki. Tusilaumu wahandisi, tuangalie pande zotezote. Nchi yetu ni usanii pande zote na siyo upande mmoja. Jiulize, kwa nini wachina wakati wanajenga uwanja wa taifa walitumia nondo zao na simenti yao????? Hii ni kwa kuwa vifaa vyetu havikidhi kiwango cha kimataifa. Hivyo majengo kuanguka ni tukio lililo tegemewa. na bado tutaona mengi.
Mkuu mbona unachanganya madawa. Wewe ni injinia, unaletewa nondo feki na simenti feki na unakubali kujengea halafu unasema usilaumiwe!!!! Ufundi ni pamoja na kujua vifaa bora vya ufundi wako