mwanamitindo huyoHalafu nanihii alivyokaa kama model maana kiuno kinakaa wima
Kwamba CCM ni chama twawala.
Mkuu nakuona Kiswahili Umesha kisahau na hiyo Lugha unayoizungumza hapo ulipo sijuwi kama unaielewa?nilikuwa namaa kuwa hao wakuu bodi lengweji zao zinatowa ujumbe gani ?kwani makamba anaonekana kumpa kicheko cha kikejeli karume na Ali Hassan mwinyi anaonekana mwenye furaha ya Kupindukia.inayoashiria kumdhalilisha Rais Karume..
Aisee, mimi pia niliishitukia hiyo tangu kwenye gazeti la habari leo. Hawa wazanzibari wamevaa nguo za maombolezo. sijui kulikoni hapo??!Ujumbe upo wazi, Viongozi wote wa serikali ya Mapinduzi Zanzaibar hawakuvaa uniform ya kijani ya ccm.
Mkapa, Karume na Vuai hawajavajaa magwanda ya CCM..
Hata siku moja siwezi kusahau kiswahili Mkuu. Ninachoona katika hiyo body language ya hao waheshimiwa ni unafiki na ufisadi hakuna jingine.
lakini hao Waheshimiwa (Mnaowaita) wanafiki si mnawachaguwa nyinyi Wenyewe? sasa lawama za nini jamani?
Msiwatukane Viongozi wetu jamani kuweni na Heshima kama hamuwataki musiwachague tena kwenye Uchaguzi
Naona Benjamini kama alielazimishwa kuhudhuria, anawaza saa ngapi mtamaliza, Madili yananipita viwanja!