Umeonaee! hata mi sijaona hawa magwanda kwa uzushi! balaa!
Wewe kwako na "Sweety wako" kulia ni kufanyaje? Kusikia Mayowe? Kuona machozi? Ushaambiwa "picha ya mnato" huwezi kusikia mayowe!! labda kama ingekuwa "picha tembezi". "Nyie ndo wale mnachungulia mdomoni kwa mtu aliye kwenye picha kuona anakula nini!!