USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
View attachment 66478View attachment 66479
View attachment 66482View attachment 66483View attachment 66485View attachment 66484
KAMACHUMU
1. HECHE AKIHUTUBIA MKUTANO
2. AKIPOKEA WANACHAMA
3 PICHA NA VIONGOZI WA MULEBA
ANSBERT NGURUMO ALIYE NA KOMBART NYEUSI
picha zote kwa hisani ya FADECO CIMMUNICATION NA NGURUMO .BLOGSPOT.COM
katika hali inayoashiria kuwa CHADEMA wameamua kujikita vijijini kwa vitendo wiki hii nzima kulikuwa na ZIARA nzito saana hapa wilayani MULEBA iliyokuwa chini ya usimamizi wa mwkt wa vijana taifa NDG JOHN HECHE akiongozana na aliyekuwa diwani wa kata ya sombetin ARUSHA bwn ALPHONCE MAWAZO ,kamanda mhariri wa gazeti la TANZANIA DAIMA pia mwanaharakati wa siku nyingi NDG ANSBERT NGURUMO katika hotuba yake ndugu heche aliyekuwa akisikika moja kwa moja kupitia RADIO FADECO alisisitiza nini malengo ya CHADEMA hapo wanapoenda kuchukua nchi kama alivyonukuliwa
" NDUGU ZANGU WANA MULEBA SISI KAMA CHAMA TUNAENDA KUCHUKUA NCHI SI KWA LENGO LA KUPATA ZAMU YA KUVUNA RASLIMALI ZA NCHI KAMA WATU WA CCM WANAVYOFANYA TUNA MALENGO YA KUHAKIKISHA KUWA NCHI HII INARUDI KATIKA HADHI YAKE NA TUTAUNDA SERIKALI INAYOTOKANA NA NYIE WENYEWE NA MADHUMUNI YA CHAMA CHETU NI KUHAKIKISHA KINAPIGANIA MATATIZO YENU NA KUWANUSURU KATIKA LINDI ZITO LA UMASKINI MLILORUSHIWA NA CCM BILA KUTAKA" alisema heche"
ndugu zangu mtuunge mkono tunapopambana na mtuombee kwa kuwa tumezungukwa na maadui wengi tunapopigania maslahi yenu ya kiafya,elimu,madini,misitu,utaifa kupinga ubadhirifu,ufisadi,mikataba mibovu,na vitu vingine kama hivyo watawala huona hata ni bora tusiiishi ili msiweze kuelimishwa
sisi kama cha watu tunasema chama chochote kinachoshindwa kupigania matatizo ya watu wake hicho kimekoswa haki mbele ya watu hao TUPENI NCHI TUKISHINDWA MTUONDOE LAKINI KWA SASA TUNAWAHAKIKISHIA TUMEJIPANGA
mikutano hiyo iliyopata idadi ya kuwa mikutano 9 ndani ya siku 4 katika maeneo tofauti ya jimbo iliyojaa hotuba zenye mguso na mvuto mpaka sasa wananchi walirekodi speech za ndg heche na wanaendelea kusikiliza mpaka leo na wengine kutumia kama ring tone jumla ya kadi 362 za CCM ZIMEREJESHWA pia wanachama wapya 549 wamejiunga na chadema
katika hatua nyingine hapa jimboni ambako mpaka sasa kamanda ngurumo mtaalam wa MASWALI MAGUMU AMEENDELEA KUHAMASISHA chama kwa vikao mbalimbali hata kufikia hatua ya kuwasilishiwa matatizo ya wakazi wa muleba kama sasa tayari amefiti kuwa kama msemaji wao na mtatuzi wa matatizo yao ngurumo ambaye ameapa kuwasaidia wanajimbo na kuwaahidi wasijione yatima kwa kukoswa msemaji shupavu anayewasemea alimpokea ndugu richard muyaga mfanyabiashara maarufu aliyefunga bendera kwenye gari lake na kubeba watu kwenda mkutanoni nyakatanga na kusababisha kizazaa ndani ya CCM muleba kwa kuanza kupukutikiwa na watu maarufu
M4C inaendelea muleba
KAMACHUMU
1. HECHE AKIHUTUBIA MKUTANO
2. AKIPOKEA WANACHAMA
3 PICHA NA VIONGOZI WA MULEBA
ANSBERT NGURUMO ALIYE NA KOMBART NYEUSI
picha zote kwa hisani ya FADECO CIMMUNICATION NA NGURUMO .BLOGSPOT.COM
katika hali inayoashiria kuwa CHADEMA wameamua kujikita vijijini kwa vitendo wiki hii nzima kulikuwa na ZIARA nzito saana hapa wilayani MULEBA iliyokuwa chini ya usimamizi wa mwkt wa vijana taifa NDG JOHN HECHE akiongozana na aliyekuwa diwani wa kata ya sombetin ARUSHA bwn ALPHONCE MAWAZO ,kamanda mhariri wa gazeti la TANZANIA DAIMA pia mwanaharakati wa siku nyingi NDG ANSBERT NGURUMO katika hotuba yake ndugu heche aliyekuwa akisikika moja kwa moja kupitia RADIO FADECO alisisitiza nini malengo ya CHADEMA hapo wanapoenda kuchukua nchi kama alivyonukuliwa
" NDUGU ZANGU WANA MULEBA SISI KAMA CHAMA TUNAENDA KUCHUKUA NCHI SI KWA LENGO LA KUPATA ZAMU YA KUVUNA RASLIMALI ZA NCHI KAMA WATU WA CCM WANAVYOFANYA TUNA MALENGO YA KUHAKIKISHA KUWA NCHI HII INARUDI KATIKA HADHI YAKE NA TUTAUNDA SERIKALI INAYOTOKANA NA NYIE WENYEWE NA MADHUMUNI YA CHAMA CHETU NI KUHAKIKISHA KINAPIGANIA MATATIZO YENU NA KUWANUSURU KATIKA LINDI ZITO LA UMASKINI MLILORUSHIWA NA CCM BILA KUTAKA" alisema heche"
ndugu zangu mtuunge mkono tunapopambana na mtuombee kwa kuwa tumezungukwa na maadui wengi tunapopigania maslahi yenu ya kiafya,elimu,madini,misitu,utaifa kupinga ubadhirifu,ufisadi,mikataba mibovu,na vitu vingine kama hivyo watawala huona hata ni bora tusiiishi ili msiweze kuelimishwa
sisi kama cha watu tunasema chama chochote kinachoshindwa kupigania matatizo ya watu wake hicho kimekoswa haki mbele ya watu hao TUPENI NCHI TUKISHINDWA MTUONDOE LAKINI KWA SASA TUNAWAHAKIKISHIA TUMEJIPANGA
mikutano hiyo iliyopata idadi ya kuwa mikutano 9 ndani ya siku 4 katika maeneo tofauti ya jimbo iliyojaa hotuba zenye mguso na mvuto mpaka sasa wananchi walirekodi speech za ndg heche na wanaendelea kusikiliza mpaka leo na wengine kutumia kama ring tone jumla ya kadi 362 za CCM ZIMEREJESHWA pia wanachama wapya 549 wamejiunga na chadema
katika hatua nyingine hapa jimboni ambako mpaka sasa kamanda ngurumo mtaalam wa MASWALI MAGUMU AMEENDELEA KUHAMASISHA chama kwa vikao mbalimbali hata kufikia hatua ya kuwasilishiwa matatizo ya wakazi wa muleba kama sasa tayari amefiti kuwa kama msemaji wao na mtatuzi wa matatizo yao ngurumo ambaye ameapa kuwasaidia wanajimbo na kuwaahidi wasijione yatima kwa kukoswa msemaji shupavu anayewasemea alimpokea ndugu richard muyaga mfanyabiashara maarufu aliyefunga bendera kwenye gari lake na kubeba watu kwenda mkutanoni nyakatanga na kusababisha kizazaa ndani ya CCM muleba kwa kuanza kupukutikiwa na watu maarufu
M4C inaendelea muleba