Mundali
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 749
- 164
Nadhani watanzania wanazidi kuelewa vile CHADEMA wanapoita harakati zao kwamba ni za ukombozi. Sasa Policcm wamewanawisha uso watanzania na kuwaondosha kabisa usingizini. Kama tunaua watu ili kufanikisha zoezi la sensa, je, zoezi hilo ni la nini na kwa manufaa ya nani?
Hivi mikusanyiko ya mihadhara na mahubiri ya kidini haina madhara kwenye sensa? Mikutano ya uchaguzi ya CCM, haina madhara kwa sensa?
Mikutano ya ndani ya CHADEMA ndio yenye madhara kwa sensa pekee?
Hivi mikusanyiko ya mihadhara na mahubiri ya kidini haina madhara kwenye sensa? Mikutano ya uchaguzi ya CCM, haina madhara kwa sensa?
Mikutano ya ndani ya CHADEMA ndio yenye madhara kwa sensa pekee?