KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
yep hii kweli lazima tena jamaa anaonesha uso wa huruma kweli duh
UMEONA EEh
yep hii kweli lazima tena jamaa anaonesha uso wa huruma kweli duh
Hapa hakuna cha kutaka kujua nani aliua ua la. Kama wananchi wanamechoshwa na vitendo vya askari kuwaua kama wadudu basi nao wajihami na kumshughulikia kila askari bila kujali aliua au la. Maana wakati wao wakiua huwa hawaangalii nani ana kosa au la. Jino kwa jino na jicho kwa jicho na hawa wauaji ili kuweza kuleta ulinganifu na kuheshimiana. Choma moto askari mtakayempata iwe kichochoroni au kwenye baa hata nyumbani kwake muone kama hawataacha upuuzi wao.
ukitizama kwa umakini hiyo picha yenye askari aliyelenga mwandishi ni dhahiri amefyatua hiyo bunduki yake na moshi bado unafuka kutoka kwenye mtutu, hebu jiulize kwa nini amlenge mtu ambaye yuko chini na hana aina yeyote ya silaha na amezungukwa na maaskari? Je ni madhara gani angeweza kufanyia watu ambao wamepitia mafunzo kwa aklili yangu tu siwezi pata jibu la kuniridhisha tofauti na walinzi wa usalama kuwa wauaji
RIP youngman.
happen to know and work with him and his folks. Mjengwa, najua wewe, akina Malembeka, na wanahabari nguli wote hapo hiki ni kipindi kigumu sana kwenu LAKINI I hope hamtanunuliwa kirahisi ili kuziba harakati na hasira zenu kupinga unyama huu. I know Ken, ambaye simuamini kabisa kwa jinsi alivyokuwa ananunuliwa kwa bei rahisi sana na hao mafisadi mabulushi, waarabu na hata akina Lukuvi. Mwenzenu ameuawa kinyama sana, sana na nyie lazima muongoze mapambano haya magumu kuwakomboa wanahabari, wapenda amani na wananchi wa Tanzania kwa nguvu zote. Tunawaangalia na tutawafuatilia kwa karibu (nilitegemea kuona na kusikia mengi kutoka ktk blogu zenu hasa wewe na Francis, lakini as I mentioned earlier ) tunajua jinsi ambavyo chama na serikali inavyowatuliza watu kama nyie..
DM hakustahili kabisa unyama huu... Ohhhh god, msipoangalia sasa watu wataanza na hizo kopta za polisi, ambazo at times zinatumika kubeba familia na ndg wa hao hao tena kwa safari za matanuzi...!
Mungu wangu, huyu wamemkatakata kwa panga au ni risasi tu? Ee Mungu, inusuru nchi yako hii!!!!!!!!!!!!!
iko kwenye gazeti la Mwananchi la leoduh, pumbavu kabisa hawa polisi ni wajinga sana, ukisikiliza RPC anasema eti kunakitu kimerushwa toka kwa wananchi.....hii picha lazima waandishi iwekekeni front page magazeti yote