nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
11 August 2012
Pichani Juu na Chini ni Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe akizungumza wakati wa Harambe ya Movement For Change M4C kampeni inayoendeshwa na Chama chake ambapo amesema wana Miaka 3 ya kufanya mabadiliko nchini na kuvitaka vyama vingine vya siasa viungane nao na kuing'oa CCM madarakani mwaka 2015. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253.
Wageni waalikwa wakisikiliza sera za CHADEMA M4C kutoka kwa Mh. Freeman Mbowe "(hayupo pichani).
Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh.Freeman Mbowe akimtambulisha Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari kwa wageni waalikwa wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement for Change – M4C ya CHADEMA.
Mh. Joshua Nassari akitoa salamu kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya harambee ya Movement for Change M4C inayoendeshwa na CHADEMA.
Mh.Freeman Mbowe akisalimiana na Jokate Mwegelo aliyekuwa miongoni mwa wageni waalikwa. Katikati ni Sinta.
Mh. Freeman Mbowe akipita kila meza ya wageni waalikwa kuwasilimu na kuhamasisha kuchangia chama hicho.
Uhamasishaji wa kuchangia ukiendelea kila meza.
Warembo baada ya kuamilisha zoezi la meza kwa meza wakiwa na mabakuli ya mijihela.
Kushoto ni Blogger Missie Popular, Miss Universe 2012 Winfrida Dominic na Maria Sarungi walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa.
Pichani Juu na Chini ni baadhi ya miongoni mwa wageni waalikwa.
Mdau Neema Mbuja akitega sikio kwa umakini na yeye alikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa.
Warembo Jokate Mwegelo na Sinta wakila pozi mbele ya Camera ya MO BLOG.
Hapo je imekaa vipi…??? kuamkia leo.
People's Power…….Ndio maneno waliyokuwa wakitamka Wafuasi wa chama hicho baada ya kutangaziwa kiasi cha fedha kilichopatikana
.
Mh. Freeman Mbowe akiwaongoza wageni waalikwa kupata chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum na chama hicho wakati wa harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Chadema Movement for Change(M4C) iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
Henry Kilewo naye alikuwepo kwenye harambee hiyo.
Hawa ni Baadhi ya Warembo waliokuwa wakikaribisha wageni katika Hafla ya Harembee ya CHADEMA M4C.
Pichani Juu na Chini ni Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe akizungumza wakati wa Harambe ya Movement For Change M4C kampeni inayoendeshwa na Chama chake ambapo amesema wana Miaka 3 ya kufanya mabadiliko nchini na kuvitaka vyama vingine vya siasa viungane nao na kuing'oa CCM madarakani mwaka 2015. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253.
Wageni waalikwa wakisikiliza sera za CHADEMA M4C kutoka kwa Mh. Freeman Mbowe "(hayupo pichani).
Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh.Freeman Mbowe akimtambulisha Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari kwa wageni waalikwa wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement for Change – M4C ya CHADEMA.
Mh. Joshua Nassari akitoa salamu kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya harambee ya Movement for Change M4C inayoendeshwa na CHADEMA.
Mh.Freeman Mbowe akisalimiana na Jokate Mwegelo aliyekuwa miongoni mwa wageni waalikwa. Katikati ni Sinta.
Mh. Freeman Mbowe akipita kila meza ya wageni waalikwa kuwasilimu na kuhamasisha kuchangia chama hicho.
Uhamasishaji wa kuchangia ukiendelea kila meza.
Warembo baada ya kuamilisha zoezi la meza kwa meza wakiwa na mabakuli ya mijihela.
Kushoto ni Blogger Missie Popular, Miss Universe 2012 Winfrida Dominic na Maria Sarungi walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa.
Pichani Juu na Chini ni baadhi ya miongoni mwa wageni waalikwa.
Mdau Neema Mbuja akitega sikio kwa umakini na yeye alikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa.
Warembo Jokate Mwegelo na Sinta wakila pozi mbele ya Camera ya MO BLOG.
Hapo je imekaa vipi…??? kuamkia leo.
People's Power…….Ndio maneno waliyokuwa wakitamka Wafuasi wa chama hicho baada ya kutangaziwa kiasi cha fedha kilichopatikana
.
Mh. Freeman Mbowe akiwaongoza wageni waalikwa kupata chakula cha jioni kilichoandaliwa maalum na chama hicho wakati wa harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Chadema Movement for Change(M4C) iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
Henry Kilewo naye alikuwepo kwenye harambee hiyo.
Hawa ni Baadhi ya Warembo waliokuwa wakikaribisha wageni katika Hafla ya Harembee ya CHADEMA M4C.