Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Lengo ni kupata bilioni 5 lakini wamepata milioni 70 pamoja na ahadi, kama Dar mlipanga kupata milioni 500 ndio sehemu mliokuwa mnaitegemea lengo limekwama...sasa unakwenda kumualika Sinta na Joketi unategemea nini.
Akili ya mfukoni ya mfuko wa nyuma. lengo la fund raising kwa m4c ni 5b sio lengo la khafla moja!! Usiifadhi akili zako unapokalia.