MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,393
- 10,591
Kosa kudai kudai democracy!!!!!!, naona watu wanajidhalilisha
Kaka kumbe na wewe uliona kama vipi twende tukaliwekee dhamana litatukumbuka na sieHili Toto LA kinyiramba limekaa vizuri
Picha wajipige wao halafu useme ni dola?Napata shida kuweza kutambua adhma ya walioko kwenye dola dhidi ya wananchi wanao ongozwa.
Katika hali tulionayo hivi sasa ya matukio ya kutisha, naona haja ya dola kuboresha na kuimarisha mahusiano na wananchi wake ili kuweza kupambana vyema na matukio ya sasa. Ila cha kushangaza inaonekana kuna vitu vinafanyika kwa lengo l kukomoa wengine bila kujua kuwa yanatengeneza chuki baina ya pande mbili.
Nini mantiki ya haya ya ziada ikiwa mtu amekili kosa na taratibu za kisheria zipo?
Tuwe makini sana.
View attachment 388203
View attachment 388202View attachment 388201View attachment 388200
View attachment 388199
View attachment 388198
View attachment 388196
yap,acha nijiphotoe niitupie humuHii ndio trend mpya? polisi hawataipiga marufuku pia? Tanzania kuna mengi
Mimi huwa nakataa kujibu hayo maswali mawili traffic wakiniandikia notification.Naomba kujua dini au kabila linaumuhimu gani kwenye maswali ya polisi?!
unataka kumuwekea dhamana festi daughter shauri zakoHuyu jesca yuko mahabusu gani nikamwekee dhamana kamanda